Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,956
Sio kulima mboga mboga. Kulima vanilla unalala kwa shamba unaamka hapoKulima mbona sio kazi ngumu 😂😂😂
Sio kulima mboga mboga. Kulima vanilla unalala kwa shamba unaamka hapoKulima mbona sio kazi ngumu 😂😂😂
Naumiaa sana mkuu, ila unafikiri itakuwaje, nakufa na tai shingoni.. Hawanitaki 😢😢Usiseme hivyo bana i can feel your pain alafu bi mkubwa yupo single ila utawezana na ile tandam? 😂
Asante sana sweetie 😘😘Happy birthday 🎂🎂
Sasa bi mkubwa huu ni wakati muafaka wa wewe kuwa na mshua mpya ambaye atakuwa akinilipia ada National AnthemInapendeza
Yna2 haiwezi Rudi kijana wangu..baki hapo hapo kwenye rumaiya 😂
Habari mbaya shangazi, nimekuota 😀Nipo tu mjomba habari za wewe!
Mnooo😂😂Vichips vinaonekana vitamu 😊😊
😂😂😂😂😂Sasa bi mkubwa huu ni wakati muafaka wa wewe kuwa na mshua mpya ambaye atakuwa akinilipia ada National Anthem
Kijana huna adabu kwa Wazee wako 🤪, tumeamua kutoipokea posa yako kwa Saint Anne hadi uje kutuomba radhi 🤪🤪Dingi kijana
Kwenye harakati zako
Una mbwinu balaa![]()
😢😢😢 Nimekaa pale, sikia atavyo nitupa kwenye 🛃🛃🛃Sasa bi mkubwa huu ni wakati muafaka wa wewe kuwa na mshua mpya ambaye atakuwa akinilipia ada National Anthem
Naomba moja hapo babuuuu
Na Uzee huu kweli nitaweza kazi ya Uvuvi?🤪🤪Utawavua sana mkuu
Hao samaki![]()
Kabisa kabisa mkuuSawa, ngoja nikutumie ili Tozo ikajenge vyumba vya madarasa 🤪
Sio mm bana😁😁😁Labda mie ndio chibaba, si unajua humu id 😅😅😅 maana na mie namuonaga mwenzangu JF ila sijawai muuliza ID yake, mie kila akija kunicheki nikiwa naperuzi JF anakuta sija log in naperuzi kama guest user 🤣🤣 salama yangu najua hapiti chit chat wala photo wala celebrity.. Ni mkaksi sana 😁😁 yeye siasa na habari na hoja basi
Usijali Mjukuu 🤪Kabisa kabisa mkuu
Sasa wife material si ndo wewe sasaKazi nafanya yani nafanya kazi mno.
Unadhani kwa nn siwi mnene kwa sabb kazi zinanizidia😂😂😂
Nkiamka asubui naanzia shamba kwanza, natoka sa kumi naenda kutafuta kuni
Subiria hadi nipokee pension ya Mama Samia next Month 🤪Naomba moja hapo babuuuu
Aaah! Siasa mie za nini.. Kuchoshana akili tu, huku maisha ya mtanzani ili yasonge hayana utaifa tena bali ni jitihada za mtu binafsi.. Kuna siku nimekaa napiga nae story ananitajia member wa jf ambao wamewaka moto, nikasema hata siawajui hao 😅😅😅😅 maana hata account sinaSio mm bana😁😁😁
Sasa mwenzio siasa wewe huku unafanyaje kama sio tabia mbaya tu hiz😆😆
😂😂😂😂..hapana..nabaki hapa kwenye rumaiya mpole mwenyeweRudishaa mama ninihuuuu
Mkipokea akiyanani mtamlipa.Kijana huna adabu kwa Wazee wako 🤪, tumeamua kutoipokea posa yako kwa Saint Anne hadi uje kutuomba radhi 🤪🤪
Aaah! Siasa mie za nini.. Kuchoshana akili tu, huku maisha ya mtanzani ili yasonge hayana utaifa tena bali ni jitihada za mtu binafsi.. Kuna siku nimekaa napiga nae story ananitajia member wa jf ambao wamewaka moto, nikasema hata siawajui hao 😅😅😅😅 maana hata account sinaSio mm bana😁😁😁
Sasa mwenzio siasa wewe huku unafanyaje kama sio tabia mbaya tu hiz😆😆