Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaah! Siasa mie za nini.. Kuchoshana akili tu, huku maisha ya mtanzani ili yasonge hayana utaifa tena bali ni jitihada za mtu binafsi.. Kuna siku nimekaa napiga nae story ananitajia member wa jf ambao wamewaka moto, nikasema hata siawajui hao πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… maana hata account sina
Kule kwnye fantasy hapiti eee
Aone mtu wake alivyo na udugu wa shetani mwenyweπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Ukiwa unaperuzi mwnywe unakua umetulia mwnywe huna hata baya
 
Kule kwnye fantasy hapiti eee
Aone mtu wake alivyo na udugu wa shetani mwenyweπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Ukiwa unaperuzi mwnywe unakua umetulia mwnywe huna hata baya
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… akiona avatar hawezi amini kama ni mie, au ule uandishi pia hawezi amini kama ni mimi.. nikimaliza tumia jf huwa nafuta kila kitu.. Siku labda nijisahahu ku log out na kufuta hapo ndio itabidi niandae utetezi, ingawa nishapinga namuambia hiyo account ya kazi 🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom