Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha mnakubaliana mapema wenyewe .
asipokupa Sasa , unafanyaje ?

mie mshamba siwezi sana kuomba hela
Nakushauri usiombe hela kama mtu unajua Uko na malengo nae na yeye kama anamalengo na wewe.

Lakini asilimia kubwa sana mwanamke ndie umtengeneza mwanaume akawa na malengo nae.

Kila mtu anamuwinda mwenzie 🤣🤣mbwa kala mbwa

Mada ni ndefu sana hii
 
Mi binafsi mwanamke omba omba hapana na huo ndio kweli. Mwanamke unakuwa kama lile dubu la kamari. Alafu ukija huku kwenye kikao chenu mnajidai sisi hatupendi pesa tunapenda heshima. Kikao chemu kikiisha tayari unampiga mtu kizinga cha vocha.!!!
Umeamua kutusema sioo
🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁!! Kwanza una buku hapoo??? 🤣🤣😁😁
 
😂 Ukisikia vita vya Dunia mnyime mkeo pesa 🙌 nakwambia utasingiziwa kila aina ya dhambi dunia hii.
3F6D8323-A308-4FB3-879A-ACAF441D0EBE.jpeg
 
Mi binafsi mwanamke omba omba hapana na huo ndio kweli. Mwanamke unakuwa kama lile dubu la kamari. Alafu ukija huku kwenye kikao chenu mnajidai sisi hatupendi pesa tunapenda heshima. Kikao chemu kikiisha tayari unampiga mtu kizinga cha vocha.
Hawa ni kama wehu, ndio maana tuliambiwa tuishi nao kwa akili maana wao hawana 😅😅😅..
 
Nakushauri usiombe hela kama mtu unajua Uko na malengo nae na yeye kama anamalengo na wewe.

Lakini asilimia kubwa sana mwanamke ndie umtengeneza mwanaume akawa na malengo nae.

Kila mtu anamuwinda mwenzie 🤣🤣mbwa kala mbwa

Mada ni ndefu sana hii
Thank you dear kwa ushauri , nikidate tena nitazingatia hilo .

sema inatokea umepata shida ndo usimuombe baby wako , akusaidie utatue shida hiyo .

okay hapo kwenye kumtengenezea mazingira ndo unakuwa supportive girlfriend and more .
 
Mwanaume ni kichwa, anaepaswa kuanza kutii ni mwanamke then mwanaume anafata kile ambacho ana muongoza mwanamke.. shida haya mambo ya feminism yana waharibu .. hakuna mwanaune ambae anataka kukaa na mwanamke asie mtii hayupo.. nyie mtaendelea kupiga kelele wanaume ABC ila shida ni nyie
Hapana banaa! Labda useme shida ni woteeeee ..haya mambo si ya kukaa na kuzungumza jamani I don't like like that.... Umemwambia mtu hasikii si ndio pa kwenda kutafuta Peace of mind unakojua mwenyewe!!😉😉😉😉 Love is a two way traffic nisikilize nikusikilizee Even if you are the provider!!
 
Sio dunia ya sasa wewe binafsi Lenie unapenda pesa balaa kuna siku nilikusifia ukanipiga mzinga wa vocha 🙌😂 angalieni mlivyomfilisi Mjep mpaka hajulikani alipo 😂
🤣🤣🤣🤣
Aki hata sikua siriaz, nilikua tu nakutania nione kama utatoa

Bana wee sisi tunapenda hela na nyie mnapenda mbususu so ngoma drooo
 
Hapana banaa! Labda useme shida ni woteeeee ..haya mambo si ya kukaa na kuzungumza jamani I don't like like that.... Umemwambia mtu hasikii si ndio pa kwenda kutafuta Peace of mind unakojua mwenyewe!!😉😉😉😉 Love is a two way traffic nisikilize nikusikilizee Even if you are the provider!!
Mtabeba misalaba mizito sana, tatizo ni feminism.. wenzenu walio watii na wenyenyekevu sasa hivi wana bebika tu na kutunzwa kama vitoto vichanga 😅😅 miaka inaenda jamani jamani
 
Back
Top Bottom