Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hao kila mmoja wao ana uchungu na mauvimu yao, wanajazana hapa upepo, ila deep down mioyo yao imejeruhiwa na wakurungwaa 🤣🤣🤣 wanapeana matumaini .. si unajua ma loser wakikutana huwa lazima wajazane upepo ili baada ya hapo wakikaa wanaona uharisia maumivu yanaendelea kama kawa
Tunayatoa ya moyoni na si vinginevyo
kuongea inasaidia kupunguza machungu kidogo .
 
Upendo kwanza mengine baadaye .
Pesa sio muhimu , mtu asikutese kisa pesa zake .
yah hawaelewi hao wanahisi kila ke yupo after money tu .
🤣🤣🤣😁😁😁😁😁🤣😁😁 pesa sabuni ya roho ila isiwe chanzo cha hizo jeuriiii Sijui dharauuuu Alooooooohh!!
 
Nitakuwa wa mwisho kukubali mwanamke na mwanaume wanahaki sawa mpka pale wanawake tutakapoweka wazi hii haki sawa ya mwanamke na mwanaume ni ya kwenye nini na nini
Mwanamke anaweza kuwa analipwa milioni 1 kazini na mumewe kazini milioni 1. Ila majukumu yote ataachiwa mwanaume, ye mwanamke hela zake ni kusuka , vicoba, ahadi kwenye sherehe, kushonesha vijota n.k na bado atakuja akuombe hela ya rejesha 😂 🙌
 
Back
Top Bottom