National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
Ndio mnavyojijaza upepo 😅😅😅Kwani tutaenda motoni kwa hilo?
Ndio mnavyojijaza upepo 😅😅😅Kwani tutaenda motoni kwa hilo?
🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣😂 Hapo sasa ndio umekuja kwenye uhalisia wa win win situation. Binafsi yangu mambo yakuweka kambi au koloni hapana mi kila nikihitaji kuzagamua nakuita unakuja tukimaliza nakupea chako kila mtu ashike 50 zake.
🤣🤣🤣Hii ni theory, nenda kwenye practical sasa ndo utajua hujui.
![]()
Kwahyo sisi hatugomi kuwapa vocha ila muwe mnatoa ushirikiano kwa kuacha pm zenu wazi. Sasa mnataka tuwatongoze huku jukwaani kila mtu ajue siri zetu?Hayo ndio maisha sasa, sio kupeana stress kwa mambo ya ajabu, tozo zenyewe kila siku zinapanda bado tena kiumbe mwingine akupe stress? Aah hapana aisee
wasela ndo sie ? 😂😂😂Wafundishe hao wenzako kutumia akili zao vizuri, wafundishe.. kwenye hili kundi unaonekana upo matured unaweza tunza hata ndoa na mume.. ila hao wasela wengine mmmh🤭🤭🤭
Kuna watu waligeuka hadi mahouse girl na mwisho wa siku wakala mzinga akaja kuwekwa ndani slay queen fulani🤣Ukitoka outing na mwamba wako make sure unachangia japo kidogo dear..
Akigoma usichangie bill basi toa cash mlipe waiter.
Kuwa mwanamke lakin pia kuwa classy..jitengeneze mwanaume akuheshimu.kuwa miss independent hata Kwa kidogo ulichojaliwa.
Mada ni ndefu hii jamani..ngoja kwanza ninywe soda hapa😂
Ndio maana yakewasela ndo sie ? 😂😂😂
Hahaaha noma aisee
shughuli yako kubwa .
hivi unapendaga kweli wewe ?
wanasema ukimpenda mtu , humuombi hela sana






napenda dear tena niki fall nazama haswaaa, ila principle zangu lazima ziwe ndani yake. Anza taratibu kumzoeaKwahyo sisi hatugomi kuwapa vocha ila muwe mnatoa ushirikiano kwa kuacha pm zenu wazi. Sasa mnataka tuwatongoze huku jukwaani kila mtu ajue siri zetu?
Tuendelee kuzichanga karata vizuri 😅😅Kuna watu waligeuka hadi mahouse girl na mwisho wa siku wakala mzinga akaja kuwekwa ndani slay queen fulani🤣
🤣🤣
Mbavu zangu mjombaaaa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣🤣!!Kabla yeye ulikuwa ukipata shida, unakufa au ilikuwaje ?
Ishi humo humo.
Point of correction
Sio kwamba hatuna akili mkuuishu ni kwamba tuko na akili kubwa sana tukiamua kutumia akili zetu.
Wanawake tuko na sifa mbili.
Ya kwanza ni ujenzi na ya pili ni ubomoaji..tukikusudia kufanya jambo hatushindwi.tunanata na upepo
Mambo ni mengi








Ila sasa mkija pm porojo zisiwe nyingiKwahyo sisi hatugomi kuwapa vocha ila muwe mnatoa ushirikiano kwa kuacha pm zenu wazi. Sasa mnataka tuwatongoze huku jukwaani kila mtu ajue siri zetu?
Bora hivyo aseeeee.Hapo sasa ndio umekuja kwenye uhalisia wa win win situation. Binafsi yangu mambo yakuweka kambi au koloni hapana mi kila nikihitaji kuzagamua nakuita unakuja tukimaliza nakupea chako kila mtu ashike 50 zake.








Kwakweli hamna namna 🤣🤣🤣Tuendelee kuzichanga karata vizuri 😅😅
Hapo nimekupata kipenzinapenda dear tena niki fall nazama haswaaa, ila principle zangu lazima ziwe ndani yake.
Mapenzi ni kombolela ko natengeneza mazingira niwahi kubutua.
Mtu unashangaa, unajiuliza kabla ya kujuana shida na matatizo yake alikuwa anayatatua vipi .. watu wataendelea kupigwa miti aisee.Mbavu zangu mjombaaaa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣🤣!!
National Anthem amemzoea Antonnia ila mpaka leo hajafunguliwa pm. Anabaki kusema ooh sisi marafiki, wapi umeona urafiki wa simba na swala.Anza taratibu kumzoea
pm yenyewe itafunguka
😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 😁🤣🤣🤣🤣!!Wote humu selfika tunajua alikuwa anakutongoza ukampiga chini kaenda kwa lenie kapigwa chini kaenda kwa alayna kapigwa chini kaenda kwa sophy27 nako manyoya. Nikasikia alimbahatisha coca ndiko alikofilisikia. 😂 Mnadhambi ninyi 😂