Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hao kila mmoja wao ana uchungu na mauvimu yao, wanajazana hapa upepo, ila deep down mioyo yao imejeruhiwa na wakurungwaa 🤣🤣🤣 wanapeana matumaini .. si unajua ma loser wakikutana huwa lazima wajazane upepo ili baada ya hapo wakikaa wanaona uharisia maumivu yanaendelea kama kawa
😆😆😆
 
Hao kila mmoja wao ana uchungu na mauvimu yao, wanajazana hapa upepo, ila deep down mioyo yao imejeruhiwa na wakurungwaa 🤣🤣🤣 wanapeana matumaini .. si unajua ma loser wakikutana huwa lazima wajazane upepo ili baada ya hapo wakikaa wanaona uharisia maumivu yanaendelea kama kawa
Ukitaka kuwajua vizuri filisika alafu yeye awe amebahatika kupata pesa, nakwambia nyumba utaiona ni jehanamu.
 
Msimsikilize eti uwalee kama mtoto
Yaani baba ambaye anatakiwa aongoze familia adekezwe si atazembea hata majukumu yake atataka afanyiwe sasa

Mwanamke ndio wa kubembelezwa, tena tudekezwe hasa hatutakiwi kupata shida maana hatujazoea.
Wanaume wapige kazi watafute hela watuletee tutumie sie
Well said sis 🥰
kazi ya kudeka ni ya ke na sio me .
inahitajika mtu upendwe hadi usemee poo

baba ni kichwa cha familia , he must provide ,proffess and protect his family
 
Hao kila mmoja wao ana uchungu na mauvimu yao, wanajazana hapa upepo, ila deep down mioyo yao imejeruhiwa na wakurungwaa 🤣🤣🤣 wanapeana matumaini .. si unajua ma loser wakikutana huwa lazima wajazane upepo ili baada ya hapo wakikaa wanaona uharisia maumivu yanaendelea kama kawa
Tuwache na maumivu yetu, tutameza dawa yataisha.
Yakizidi tutamuona daktariii 🤣
 
Well said sis 🥰
kazi ya kudeka ni ya ke na sio me .
inahitajika mtu upendwe hadi usemee poo

baba ni kichwa cha familia , he must provide ,proffess and protect his family
Waletrreeeeeeeeeeeee💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸!! mjomba tuwachee puliiiiizzzzzz 🤣🤣🤣
 
Nakwambia leo Depal Lenie Tinsley na Antonnia kuanzia sa 12 asubuhi wanatushambulia na kufarijiana kuwa wao ni majeuri na kwamba hatuwababaishi. Mbaya zaidi wanawasifia matolu dark and handsome kwahyo wanaume weupe wamewakosea nini 🥺
Ni story kama story nyingine Hatumsemi mtu tasavaliii...😁😁😁! Haya hebu selfika kwanza kunogesha storeeee
 
Moyo Wangu ulivo wa kuridhika hata na kidogo sasa utashangaa naroho yako!!!! Afu mahusiano ya kujengwa kwa msingi wa pesa hayanogi kabisa inaonekana mtu amekupendea pesa na si true love!!
Upendo kwanza mengine baadaye .
Pesa sio muhimu , mtu asikutese kisa pesa zake .
yah hawaelewi hao wanahisi kila ke yupo after money tu .
 
Hahahaha nicheke mie 😂😂
Uzuri wanawake hamtupi taabu. Maana baada ya wiki tu utaanza kusikia nilijua mtu kumbe kunguni mara riziki hamuwezi kuiziba ila mtaichelewesha. 😂😂 Mara paap wanawake hatupendani 😂 hapo kwa sisi malegend tunajua mtu kashaibiwa bwana 😂😂
 
Kwavile ndio 1st time wacha tumsamehe
Akirudia kijini kinamhusu, kiandae kabisa. Akizingua tu tunamtupia kabla hatujamuonea huruma
😂😂 kabisaaa

As we delete kabla hatujakumbuka utraaam
 
Back
Top Bottom