myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
π€£π€£Kumbeeeeeeee
Anatuzuga hapaaaa
Weuweeeeπππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Boss lediπ₯π₯π₯π₯π₯π₯
π€£π€£Kumbeeeeeeee
Anatuzuga hapaaaa
Weuweeeeπππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Boss lediπ₯π₯π₯π₯π₯π₯
Nawe unanitupa kisomii nini π€£π€£Nini irudiwe πππ
Kabisa...ni changamoto sanaInasekeeetisha sana π
Unamuona mtu Smartii unadhani atakufit, kumbeeeβ¦ mzoee kidogo uone rangi alizoficha π
Dating/ mahusiano na mapenzi its all abt risk,, lakini kwenye hizo risk tunatakiwa tubebe na akili za kufanyia maamuzi.
πππππ yan acha kabisa
Uzuri wa mkakasi, kumbe ndani kipande cha mti
Duh....πππ nilimuelewaga mtu
Nikamweka kwenye target, akajaaa
Lol kuwa karibu nae vile ndio nikajua hana akili nzuri
Nilikimbiaaa
Me tooFb and JF ni kati ya my favourite social platform...
Ukisoma komenti za FB ni mwendo wa kuvunja mbavu...
I am feeling good Mkuu, hope so do you..
Wapendanao ndio maadui zikitimiaUkipendwa kila siku unaona ni mwisho wa mwezi yolly yolly
Haya maombi yenu x wangu anafanya mtihani wa Form four keshoView attachment 2415723
Usiombe ukutane na mtu yupo na best friend wa kike .
mkimeet watatu for dinne anakunyali tu.
Asalaam Aleykum jiraniiDuh....
Hujambo jirani
Waalaykum salaam jirani, hongereni kwa mvuaAsalaam Aleykum jiranii
Huku kwetu tuna mvua tokea jioni aisee bado inaendelea..
πππNawe unanitupa kisomii nini π€£π€£
Sitaki kuwaza tope la barabarani hukoWaalaykum salaam jirani, hongereni kwa mvua
Mjini kuna lami jirani..Sitaki kuwaza tope la barabarani huko
Siku imeenda vyedi sana mpendwaaa Huku leo tu ndio tumepumuaaa na mvuaaa!!π Boss lady cku yako imeendaje lakini huku jua kali sana cjui nyie huko.
Imegoma kufungukaa, ila nimeona pisi qali
Mjini kuna lami jirani..
Tope..gari litaoshwa jirani .Kabla hujafikia lami si unaanza kwenye rough road π
Ila haikufikii ππImegoma kufungukaa, ila nimeona pisi qali