CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Kama his game is low,, hapo ndo utamjuaKwanza atakayekuwa na mume wangu ajipange sana nisimjue aloooo
Yaani nisimjue.
Sijawahi experience hizo mambo za kuzidi mwaka na nusuβ¦
Kwa hapo sielewi maumivu yake yakojeβ¦
Nasemea zile case za gf na bf, mwagane kwa kushindwana wao kitabia then victim aonekane gf
Ntamuuliza baadae.Just do it
ujue mapema mbivu na mbichi
ππ hatuelewi somoKuachana na mtu sio uadui, maisha yana mengi
Kukosa ukomavu, mbona mie na weww tunagombana na kuchuniana sanaaa π€£π€£π€£ ila sio maadui ndege warukao pamona wanafananaππ hatuelewi somo
πππ nilimuelewaga mtunataman kumuuliza kabila lake naogopaaa, lisipokua pendwa kwangu hata mawasiliano ntakata nae.
mie hata miezi 6 sijawahi kufika , umbeya tu unaniwasha hapa.Sijawahi experience hizo mambo za kuzidi mwaka na nusuβ¦
Kwa hapo sielewi maumivu yake yakojeβ¦
Nasemea zile case za gf na bf, mwagane kwa kushindwana wao kitabia then victim aonekane gf
nilimuelewaga mtu
Nikamweka kwenye target, akajaaa
Lol kuwa karibu nae vile ndio nikajua hana akili nzuri
Nilikimbiaaa
Wakuache kabisa mchumba, wasubiri harusi tutawapa kadiπNi kapepo Fulani kanakotaka kunivunjia mikeka yanguπππ
Na mchumba wangu Jack Palladino
Kwan wakati wa kutongozana inakuaje? Si kunakua na makubaliano au?mie hata miezi 6 sijawahi kufika , umbeya tu unaniwasha hapa.
kwa case hizo gf ndo anaumia sana aisee maana anaweka matarajio makubwa kuliko Me
mostly me wana hit and run tu na wao hawapo na feelings Kama ke
πππ heri hata mwaka jana you were so friendly and sweet.Kukosa ukomavu, mbona mie na weww tunagombana na kuchuniana sanaaa π€£π€£π€£ ila sio maadui ndege warukao pamona wanafanana
ππππKwan wakati wa kutongozana inakuaje? Si kunakua na makubaliano au?
Na wewe kuwa kama waoβ¦mie hata miezi 6 sijawahi kufika , umbeya tu unaniwasha hapa.
kwa case hizo gf ndo anaumia sana aisee maana anaweka matarajio makubwa kuliko Me
mostly me wana hit and run tu na wao hawapo na feelings Kama ke
Makubaliano yepi π€£π€£Kwan wakati wa kutongozana inakuaje? Si kunakua na makubaliano au?
ππ ndege wafanano huruka pamoja hata kama wata donoana baada ya mda utawakuta tena wanacheza na kurishana na kufurahi...πππ heri hata mwaka jana you were so friendly and sweet.
Hii 2022 umekuwa kinara wa ugomvi
Sijui kwann hatuchuniani pamoja na kutukanana kote kule ππππ
Sitaki kuchovywa na kila mtu π€£Na wewe kuwa kama waoβ¦
Akihit wewe una run π€£π€£π€£
Do you see me in ur future? Au tunapeana tu kampani⦠life is so easy
Sasa hilo tatizo la wahusika wote wawili,Makubaliano yepi
siku hizi hata kutongozana hakupo
Kuuliza tu mna malengo gani as a couple . ukiona hakujibu ujue hapo chenga.
Mweke kwenye friend zone umsome ,, kama ni wa hovyo sana utanusa harufu,mie huyu mtu yuko vizuri na namkubali haswaaaa,. Tatizo linakuja tunasoma class 1 isije ikafka yale yale ya mtu wa hovyo.
Binadamu hachelew kubadilka.