cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Mchumbaaaaaaa mic u



.Afu uwage unakuja kule venue, kisa umemaliza ndo hutaki kutembelea?
Mchumbaaaaaaa mic u



.Haaland jana wamemnyoaa 😂una maanisha nn wee,
Jana team zetu zimebondwaaa, haaland kanichoshaaa.
Halaaand nyenyenye
Dadeq Brentford hawana Mbambamba![]()






wee cc utulie, team yako iko mbioni kushuka daraja.😂😂 tuliaHalaaand nyenyenye
Dadeq Brentford hawana Mbambamba 🔥🔥🔥
Kuna mtu alintumia textHaaland jana wamemnyoaa![]()




Utoke mazima vepeee, ubaki hapa hapa jijini upige hela na ujenge hapaItabidi unipelekeee, huu mwaka nataka nizururee Dar, nikitoka mazima mwakan nijue kuwa kuna sehem za Jiji nliwahi kanyaga.
Jana ni unbelievable kwa City ..Kuna mtu alintumia text
"yaan wee mbwaa nataman city na simba zifanyage vibaya mda wote ili ukose furaha na uwe mnyonge" kisa kumkataa
Anasema jana kafurahi mnooo, wallah City na Simba zitakuja kuniua, japo simba jana kashinda sijafurahi, nataka tuwage kilelen kule juu kwa msimamo.
![]()
Masikini Kijana wawatu wanawake watampunyuaa vibayaaaa🤣🤣🤣🤣🤣!!
Dar bila mishe sitatoboaaaa,Utoke mazima vepeee, ubaki hapa hapa jijini upige hela na ujenge hapa







Mwenzio kila nikijaribu nashindwa, tena World cup inakuja soon, chama languageJana ni unbelievable kwa City ..
Me siku hizi mahaba ndi ndii ndii sina, tufunge heri… tufungwe hewalaaa
naona kabisa haitoboi hata robo, maumivu tyuuh. 





Mi Videos sifunguagi mjomba!
Hahahaa yaani wewe una manenoDar bila mishe sitatoboaaaa,
Ntaishia kuwa omba omba barabarani, na nlivo na nuksi hata kuangaliwa sitaangaliwa.
Mi video hata sifungui mjomba!!
Hizo nuksi vp na Dar kuna maji ya bahari, inasemekana yanaondoa Nuksi…Dar bila mishe sitatoboaaaa,
Ntaishia kuwa omba omba barabarani, na nlivo na nuksi hata kuangaliwa sitaangaliwa.
Nina aftatu hapa nitakupa😂View attachment 2415468
Lakini ueleko wake ni ziwani which means alitaka kutulia kutoka SE kueleka NW, hio runway ina 31 na 13, airport zote lazima ukute namba ya hizo ends mbili za runway zipishane kwa 18, nipe hela kwanza tuendelee...
Nikupe story? unataka story? ngoja nikupe nilivyokula tunda kimasihara..Nina aftatu😂
Haya tuendelee Captain wetu🤗..Hizi stori huwa zinanivutia.
Nyie matakataka sijawasahau mjue😂😂😂😂😂😂 tulia
Hata Ulaya kuna shida ya maji..
Chizi wewe 😂😂Nikupe story? unataka story? ngoja nikupe nilivyokula tunda kimasihara..
Imagine kule mbele kusingekuwa na maji kungekuwa na majengo, unahisi kuna hata mmoja angepona, faida moja wapo ya kuwa karibu na maji ni uwezo wa ndege kupaa katika low altitude, kama kuna engine failure ndege inaweza kwenda umbali mrefu kwa low altitude pasipo kukutana na majengo marefu n.k, there are a lot of reasons lakini ni faida zaidi...Chizi wewe 😂😂
Kwanza ulininyima picha .
Basi nipe tu hizi stori .
Halafu hivi kwanini wanapenda kucheza na maisha ya watu kwa kujenga viwanja pembezoni Kwa Maji??huwa naangalia clip nyingi huko mtandaoni,naona viwanja vipo Karibu na maji.
Unakuwaje na mahaba na timu lishajochokea😂Jana ni unbelievable kwa City ..
Me siku hizi mahaba ndi ndii ndii sina, tufunge heri… tufungwe hewalaaa