Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hahaha hapana chezea formula
ukiambiwa utulie inabidi mpaka akutafute .

Mie nina wivu ,siwezi kabisa mambo hayo
Ila inabidi na wewe uwe na baby wako pembeni akya nani inauma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!

Kaazi kweli kweli nakwambia!!!

T Naomba niendelee kuwa katibu mie pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!! ✍️✍️
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!

Kaazi kweli kweli nakwambia!!!

T Naomba niendelee kuwa katibu mie pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!! ✍️✍️
Hahaha ndo hapo mambo ya kurogwa yaananzia hapo aisee

baadaye unabaki kujiuliza tu maswali
mbona hivi jamani ?

kutumiwa sms za ajabu , kaa mbali na Mme wangu kunguru wewe 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom