Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Sio kwenyeWanaume si mnapasianaga mazali lakini mjomba hunitakii mema shangazi ako unataka niendelee kudodaa mjomba jamaneee
![]()
Issue hiyo
Sio kwenyeWanaume si mnapasianaga mazali lakini mjomba hunitakii mema shangazi ako unataka niendelee kudodaa mjomba jamaneee
![]()
HujuiLol hata sizikumbuki mjomba!! Sasa zinasaidia nini mjomba dohh!!

Li zuri
Na lilivyokaa vizuri...daah!
OhooOoh unacho kidogo ndo maana
hauna mashavu makubwa pia

Nina kazi nae
Mbona siijui hii kakakeInaitwa kafulafuta
Pole sanaNgoja sasa niende coco Beach 🏖️ nikale mihogo maana Yanga utasema wamebeba kombe la Dunia.
Kaka mie mzima, habari ni njema kabisa japo tuna msiba mzito lakini tumshukuru Mungu kwa yote...Post M-alone mzee habari za miezi kadhaa
Tumeamka tunaparangana hukuAmkenii amkenii amkenii 🗣️ Tinsley myoyambendi Carrasco putin Lenie Antonnia Lenie sophy27 Lovelovie Mshana Jr Carlos Tevez Wigelekelo Saint Anne mtu chake Alayna Nuzulati mawardat NARUDIA TENA AMKENII. WAPI BOSS Mjep
Jambo jema kama uzima upo. Mungu azitie nguvu familia zilizopoteza wapendwa wao na kuachia amani mioyoni mwaoKaka mie mzima, habari ni njema kabisa japo tuna msiba mzito lakini tumshukuru Mungu kwa yote...
Amen!Jambo jema kama uzima upo. Mungu azitie nguvu familia zilizopoteza wapendwa wao na kuachia amani mioyoni mwao
Poleni sana..Kaka mie mzima, habari ni njema kabisa japo tuna msiba mzito lakini tumshukuru Mungu kwa yote...