Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ila Coca 😂😂😂shangaziii nawee ungeomba denda lol.
Ila Coca 😂😂😂shangaziii nawee ungeomba denda lol.
Nliwahi kumchamba mtu na mchmba ake mwenyewee, kisa unoko wake.Shangazi ungekuwa wew ningekuvuta shavu![]()







Sasa si ndo alitaka amtamanisheee.Ila Coca![]()
Aisee..![]()
Kuna m1 iv kamaliiza petroleum mwaka huu, GPA 4.2 wallah yuko kwao anaendesha bajaji.
Had namuonea huruma.
hapo ni kuwakimbia tuSasa si ndo alitaka amtamanisheee
Habari jiraniSalam za jioni wadau..
Ndo ivo ajira hakuna.Aisee..
Salama kabisa jirani, hujambo..Habari jirani
sijambo , vipi weweSalama kabisa jirani, hujambo..
Ilikuwaje auntNliwahi kumchamba mtu na mchmba ake mwenyewee, kisa unoko wake.![]()
😂😂😂Shenzi wew 😂😂shangaziii nawee ungeomba denda lol.
Yule jamaa mnoko sana,Ilikuwaje aunt





.








, aliniboaaa.Sasa nn shangaziiiii.Shenzi wew
![]()
😂😂😂Aunt wew ni noma 😂Yule jamaa mnoko sana,.
Eti yeye kila akiwepo na demu wake, alitaka sijui na mie niwepo. Maan nlikua sipend kuwaharibia appointments zao.
Sasa yeye akahisi namchukia, sipendi awe na yule shost, si akaanza kumlaumu demu wake, oooh rafk ako mbayaa, hanipend, afu ananichukia, shouga akaja kuniambia,. Weee nlimcharua mbna.
Nkamuambia ulikua unatak kila mkiwepo na mie niwepo, mie chawa wenu? Niwe nawashika miguu mkiwa mnainamishana? Au niwe refa niwe nahesabu unakojoa baada ya dkk ngapi?
, aliniboaaa.
Niko salama jirani...kwetu baridi tu leo..sijambo , vipi wewe
Enjoy tu biaTu bia twa kunywa msibani,ktk kiduka cha mangi,tamu sana
Ooh kumbeNiko salama jirani...kwetu baridi tu leo..