Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

shida ni kuwa watanzania hatuna utaratibu wa kupata supplements.

hii Folic Acid ni Vitamin B9 ambayo wameweka kwenye vidonge .
kama vile vitamin C

sasa hiyo dawa ina shida gani jamani

Folate, also known as vitamin B₉ and folacin, is one of the B vitamins. Manufactured folic acid, which is converted into folate by the body, is used as a dietary supplement and in food fortification as it is more stable during processing and storage.
Siingizi dawa mwilini kama siumwi walai !! 😀😀
 
umekosea kusema hivyo na nimeweka viambatanisho vyote

CDC urges all women of reproductive age to take 400 micrograms (mcg) of folic acid each day, in addition to consuming food with folate from a varied diet, to help prevent some major birth defects of the baby's brain (anencephaly) and spine (spina bifida).15 Jun 2022

Sawa Mdogo ake na shangazi, now it cleared all those doubts
 
Acha kabisa!! Na yalivokua makubwa fulani mapana 🙌🙌🙌🙌🙌! Ilikua lazima nibamizwe either kwa kutema kabisa au ile kuattempt kuirudisha kujifanya kama nataka kuivomit😀😀
hahaha pole aisee ndo maana wanawasimamia maana mkiambiwa mnywe nyumbani ni mtu atazitupa tu hapo .

kuna mavidonge machungu mno aisee .
 
Back
Top Bottom