Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi hazifai!
Tumbo likijaa gesi sijui itakuwaje,
Na nikikosa appetite si ndo naenda kufa njaa Mimi!
Nilivyo mvivu kula.


Mabeetroot siyapendii
hahahaha beetroot mabaya
usiwaze unaweza pata kama hii yangu .

beetroot unaweza weka passion ili upate ladha tamu .
 
hahahaha beetroot mabaya
usiwaze unaweza pata kama hii yangu .

beetroot unaweza weka passion ili upate ladha tamu .
Nionyeshe zako na mimi nizitafute


Nikiweka na hayo mapasheni ndio kabisaa narudisha chenji hapohapo.
 
sasa hivi jitahidi kwenye vyakula hivyo kama maini , mayai , maharage , spinanchi bila kusahau tembele mchemsho .
Huo mchemsho wa Tembele lol!
Kuna kipindi damu ilipungua,nikawa nakula sana hivyo vyakula,kila siku.

Hadi sasa nishaachana na juice nyingine,ni mirozelle tu nakunywa.
 

Attachments

  • IMG_20221024_155659_953~2.jpg
    IMG_20221024_155659_953~2.jpg
    475.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom