National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
hahahaha beetroot mabayaBasi hazifai!
Tumbo likijaa gesi sijui itakuwaje,
Na nikikosa appetite si ndo naenda kufa njaa Mimi!
Nilivyo mvivu kula.
Mabeetroot siyapendii![]()
Nionyeshe zako na mimi nizitafutehahahaha beetroot mabaya
usiwaze unaweza pata kama hii yangu .
beetroot unaweza weka passion ili upate ladha tamu .
asante dear
gauni hili aisee .
lina joto hilo natamani kulivua
sasa hivi jitahidi kwenye vyakula hivyo kama maini , mayai , maharage , spinanchi bila kusahau tembele mchemsho .Nikikaribia kubeba kaJunia nitazisaka
haya nakuonyesha dear upate kama hii .Nionyeshe zako na mimi nizitafute
Nikiweka na hayo mapasheni ndio kabisaa narudisha chenji hapohapo.
ulikuwa wapi ?Baby hukunitag, natamani u retrieve event
Huo mchemsho wa Tembele lol!sasa hivi jitahidi kwenye vyakula hivyo kama maini , mayai , maharage , spinanchi bila kusahau tembele mchemsho .

Ewaaahaya nakuonyesha dear upate kama hii .

Thanks mjomba miss you more!!Shangazi Miss you love yoo🙂🙂
ulikuwa wapi ?

Toa hiyo emoj bana

Una tatizo gani mamaa? Ni damu,, Prego or???hahahaha beetroot mabaya
usiwaze unaweza pata kama hii yangu .
beetroot unaweza weka passion ili upate ladha tamu .
hii apaEwaaa![]()
hapana dear sina shidaUna tatizo gani mamaa? Ni damu,, Prego or???
Lol hongeraaa.. Mimi navoogopa dawa na uzee wote huu yani Sipendi dawa uwiiiiiii kumeza Panadol tu ukiniona utacheka!hapana dear sina shida
napenda kuwa fit , naandaa mazingira 😍
Ohoohii apa
Tuna mzuka kabla hata ya mudaUna tatizo gani mamaa? Ni damu,, Prego or???







Hizo dawa zinavyoleta kichefuchefu sasa🙌🙌🙌🙌🙌!Tuna mzuka kabla hata ya muda![]()
Mna balaaa sio dogo..yani hamuumwi na mnakunywa tu nhiiiiiiiiiiiiiiiiiii... nikiumwa kwenyewe hio kunywa dawa kashesheeTuna mzuka kabla hata ya muda![]()