Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,329
- 176,110
kaongo sana.
Hapo bado hajaanza kudanganya hajawahi kufika dar.
Yaani akikwambia kitu niite nikidhibitishe kwanza.




kaongo sana.
Hapo bado hajaanza kudanganya hajawahi kufika dar.
Yaani akikwambia kitu niite nikidhibitishe kwanza.




Nipo nawaza kesho nitavaa nguo gani kanisani ambayo sio ya kupasiHulali we mtoto?




. Uko Mbeya??
Ha ha ha ha ha sisikii mkojoHebu kakojoe ulale usidanganye watu.
Mmmh! Mungu anatuona mdogo wangu.Naomba shingo yanguu jamanii auntie!!
Yaani yangu iko na makorongo kama yotee
Hizo viberiti just hope ni vya kuwashia mishumaa tu, si kwa matumizi mengine(cigarettes)

Khaaaah!! Lete nikupasie mama.Nipo nawaza kesho nitavaa nguo gani kanisani ambayo sio ya kupasi.
Haki huu uvivu duuh
Mfojoo mojaa hiyoo, huwa naliskia hili chimbo mkuuHizi nyama zimenifanya nikumbuke chimbo langu la kwa mfojo tabata

kaongo sana.
Hapo bado hajaanza kudanganya hajawahi kufika dar.
Yaani akikwambia kitu niite nikidhibitishe kwanza.
Lishakufa sasa,lilikua chimbo hasa si mchezoMfojoo mojaa hiyoo, huwa naliskia hili chimbo mkuu
Eeeh forest mpya
C.c @Watu8
Ilomba kwa wazeeMmhh siyo Ilomba??
Hahaa huyo sie Mimi mkuu.Hizo viberiti just hope ni vya kuwashia mishumaa tu, si kwa matumizi mengine(cigarettes)![]()
Ilomba kwa wazee
So unakaa forest mpya kule milimani au huku karibu na ngonga?? By the way mimi nilikuwa forest ya zamani pale karibu na benki kuu!!
Naskia alikua noma sana kwenye izo issues za mbuzi choma, doohLishakufa sasa,lilikua chimbo hasa si mchezo