Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sometime Huwa Najiuliza Maswali Halafu Nabaki Namshukuru Mungu


Imagine Nina Kazi Napata Angalau Pesa Kidogo.

Pamoja Na Kua Nina Kazi Na Pesa Bado Kuna Mahitaji Nashindwa Ku Afford,Vipi Kuhusu Wale Watu Ambao Wanaamka Asubuhi Hawana Kazi Na Hawajui Wapi Waende Na Wanaishi!!

Mshukuru Mungu kwa kidogo ulichonacho huku ukiendelea kupambana.
Umeongea jambo la msingi sana!

Barikiwa sana Mkuu
 
Meeyah dada ake njoo maskani tubarizi.


_20191109_133836.JPG
 
Back
Top Bottom