Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nitumie basi teh; kupitwa picha kunaumaaa hahaa
Nitumie basi teh; kupitwa picha kunaumaaa hahaa



unajua namuamini sana cute b kuliko wewe,, hata kama kaniambia jambo linalokuhusu wewe mwenyewe na ukalipinga nitamuamini yeye sasa ongea na mdogo wako vizuri uwe unampanga vitu vya kutuambia sisi ili msitindinganye mambo..


Nilisema ya upole sio nyembamba, cute b kakudanganya.
Ulisema una sauti ya upole lakini siyo mpole,, yes??
makonda si alizuia huu ujinga
Mpendwa umenitisha mweeh; em uje pm uning'ate sikio. Kwa wengine nimekonda; kwa wengine nimenenepa; inategemea tu mara ya mwisho tulionana lini.wewe umesema kweli, ila sio mweusi sana na imani utakuwa umenenepa kwa sasa
Kumbe unamsikia
Yule ndio class mate wangu. Sasa angalia umri wake halafu ujilinganishe na mimi.
kwa karibu kama ebitokeWow in Nicosia?? Hongera aisee!!
Kwa mbali unataka kufanana na Zamaradi Mketema

Kuwa mvumilivu Kama unavyosubiri kurudi kwa BwanaMmmmh!! Tangu useme hata hutimizi ahadi![]()
Mapema sanaKesho unaanza kutuma picha eeh??
Muda kidogo maeneo fulani mbeya, bado upo huko ama umetoka. Kwanza kwanini hujawahi weka picha yako hapa mpendwaMpendwa umenitisha mweeh; em uje pm uning'ate sikio. Kwa wengine nimekonda; kwa wengine nimenenepa; inategemea tu mara ya mwisho tulionana lini.
Nilisema ya upole sio nyembamba, cute b kakudanganya.



wooiii kama kijitonyama ni usoni mwa mji basi ni heri nibaki huku huku matakoni tu!!
anakuja kukuleta usoni mwa mji....![]()
Kwani ni uongo?????? Mimi ni msema kweli.
Kashasahau huyo
Kwa kifupi sauti tamuuu. Nyembamba ndio haikwaruzi.Nilisema ya upole sio nyembamba, cute b kakudanganya.
Muda kidogo maeneo fulani mbeya, bado upo huko ama umetoka. Kwanza kwanini hujawahi weka picha yako hapa mpendwa
Mapema sana
Hahahaa saa 10 alasiriKuanzia saa ngapi niweke alarm kabisa??
Na hawezi kunipanga coz I am telling the truth.unajua namuamini sana cute b kuliko wewe,, hata kama kaniambia jambo linalokuhusu wewe mwenyewe na ukalipinga nitamuamini yeye sasa ongea na mdogo wako vizuri uwe unampanga vitu vya kutuambia sisi ili msitindinganye mambo..
![]()