Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Nitumie basi teh; kupitwa picha kunaumaaa hahaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani hiyo sasa ndio ilikuwa full haiba, muulize Sakayo
Nitumie basi teh; kupitwa picha kunaumaaa hahaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani hiyo sasa ndio ilikuwa full haiba, muulize Sakayo
Nilisema ya upole sio nyembamba, cute b kakudanganya.
Ulisema una sauti ya upole lakini siyo mpole,, yes??
makonda si alizuia huu ujinga
Mpendwa umenitisha mweeh; em uje pm uning'ate sikio. Kwa wengine nimekonda; kwa wengine nimenenepa; inategemea tu mara ya mwisho tulionana lini.wewe umesema kweli, ila sio mweusi sana na imani utakuwa umenenepa kwa sasa
Kumbe unamsikia[emoji134][emoji134]
Yule ndio class mate wangu. Sasa angalia umri wake halafu ujilinganishe na mimi.
kwa karibu kama ebitoke[emoji23]Wow in Nicosia?? Hongera aisee!!
Kwa mbali unataka kufanana na Zamaradi Mketema
Kuwa mvumilivu Kama unavyosubiri kurudi kwa BwanaMmmmh!! Tangu useme hata hutimizi ahadi[emoji134]
Mapema sanaKesho unaanza kutuma picha eeh??
Muda kidogo maeneo fulani mbeya, bado upo huko ama umetoka. Kwanza kwanini hujawahi weka picha yako hapa mpendwaMpendwa umenitisha mweeh; em uje pm uning'ate sikio. Kwa wengine nimekonda; kwa wengine nimenenepa; inategemea tu mara ya mwisho tulionana lini.
Nilisema ya upole sio nyembamba, cute b kakudanganya.
anakuja kukuleta usoni mwa mji....[emoji2960]
Kwani ni uongo?????? Mimi ni msema kweli.Umeisikia wapi? Unamsikiliza cute b kweli[emoji134][emoji134][emoji134]
Kashasahau huyo
Kwa kifupi sauti tamuuu. Nyembamba ndio haikwaruzi.Nilisema ya upole sio nyembamba, cute b kakudanganya.
kwa karibu kama ebitoke[emoji23]
Muda kidogo maeneo fulani mbeya, bado upo huko ama umetoka. Kwanza kwanini hujawahi weka picha yako hapa mpendwa
Mapema sana
Hahahaa saa 10 alasiriKuanzia saa ngapi niweke alarm kabisa??
Na hawezi kunipanga coz I am telling the truth.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unajua namuamini sana cute b kuliko wewe,, hata kama kaniambia jambo linalokuhusu wewe mwenyewe na ukalipinga nitamuamini yeye sasa ongea na mdogo wako vizuri uwe unampanga vitu vya kutuambia sisi ili msitindinganye mambo..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]