Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Mimi nipo hapa nategea za kwako tu hapaToka saa moja usiku hadi sasa hakuna hata picha moja wakuu


Mimi nipo hapa nategea za kwako tu hapaToka saa moja usiku hadi sasa hakuna hata picha moja wakuu


Mda huu mkuu kesho asubuhi insha'AllahMimi nipo hapa nategea za kwako tu hapa![]()
Siku nyingine tukijaliwa moja inatosha
Okay...mwaka gani labda
Mwaka huu,, nimemaliza chuo Mzumbe pale..
PichaaaWakuu chat na picha jamanii au mnasubiri tugone ili muweke picha.
Nibariki ya usiku mpendwa moja.Pichaaa
Njoo kwa WhatsappNibariki ya usiku mpendwa moja.
Uzi wa bro. Mshana unahamia Whatsapp 😁Njoo kwa Whatsapp
huyo jamaa kwenye ku like ni baba laoHata mimi nimemshukuru tu Watu8 , kazi nzuri mzee!!
Ooh okay....mi hapa naongelea miaka ya tisini huko...different era lol
Si ndioUzi wa bro. Mshana unahamia Whatsapp![]()

Duuh, ndiyo ulikuwa mitaa ile?
Huyo Lenna hana jina jingine??
Watu wawili ambao picha zao sijawahi kuziona... Atoto na Heaven sent.
Nioneeni huruma jamani
Upunguze kulala; unapishana na picha zetu
Mnafuta in~law..


