theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,715
Mmh kweli utanitag moja basi, siku nikija mbeya nitakutafuta Miss...Ooooh ok; bado nipo. Picha zangu utakuwa umepishana nazo tu
Mmh kweli utanitag moja basi, siku nikija mbeya nitakutafuta Miss...Ooooh ok; bado nipo. Picha zangu utakuwa umepishana nazo tu
Ooooh ok; bado nipo. Picha zangu utakuwa umepishana nazo tu
Hahahaa saa 10 alasiri
Mkwe unazeeka bado mtoto mdoooogo.sauti ilihusika mkwe
Teh teh teeeeh!Nitumie basi teh; kupitwa picha kunaumaaa hahaa
Looooh!!unajua namuamini sana cute b kuliko wewe,, hata kama kaniambia jambo linalokuhusu wewe mwenyewe na ukalipinga nitamuamini yeye sasa ongea na mdogo wako vizuri uwe unampanga vitu vya kutuambia sisi ili msitindinganye mambo..
![]()
wooiii kama kijitonyama ni usoni mwa mji basi ni heri nibaki huku huku matakoni tu!!

loh ninavyoshadadia sasa..
Na hawezi kunipanga coz I am telling the truth.
Sipendi kusema uongo.
Shule.Subiri kwanza hapo hapo,, alikuwa classmate wako shule au chuo??
Ndio.Sasa ya upole huwa inakoroma?
Hulali we mtoto?Kwani ni uongo?????? Mimi ni msema kweli.
Hebu kakojoe ulale usidanganye watu.Kwa kifupi sauti tamuuu. Nyembamba ndio haikwaruzi.
Mkwe unazeeka bado mtoto mdoooogo.
Sawa kabisa msema ukweli mpenzi wa Mungu,, dada yako kaongo sana..
loh ninavyoshadadia sasa..


kaongo sana. Edo ni mgonjwa jamani.wengine tumejaaliwa visura visivyozeeka...hivi unajua kikwete ba lowassa ni rika moja? sasa ona kikwete vile yupo na ona edo vile yupo
mji unaanzia ubungo...almaaruf kama lango la jiji
Poa poa; karibu sanaMmh kweli utanitag moja basi, siku nikija mbeya nitakutafuta Miss...