Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amen ,
Ngoja nisubirie wangu
Atakuja saa usiyoitarajia na hautatumia nguvu Wala.
Mungu ni mwaminifu sana.


Shetani anaweza kukudanganya kukuwazisha kuwa umechelewa..au kwanini usivuruge mahusiano Yao,au anakuwazisha kwamba hutapata kwingine,heri ugombanie hapo.
Anakushawishi kwamba kuanza upya tena mbona itakuwa kazi.

Ila zote hizo huwa ni mbinu za kutulaghai..
Anajua kabisa yaliyo mbele yetu ni mazuri.
 
🙂🙂🙂 za kuambiwa changanya na zako, wengine ni single forever.. ishini kama mie kaka yako no love no nini kikubwa uhai na kupumua na kula chakula na kulala mengine ubatili mtupu
Ubatili eeeh?
Mtu akikusoma mbona unampoteza sana🤣🤣🤣🤣


Aloo nishaandaa skuna na gauni,Nasubiri location nije kupiga ubwabwa mie.
 
Sahihi bora muanze kwa urafiki
Hapo unaweza mjua mtu kiasi
Unamjua sana.
Yaani Hadi kuingia kwenye mahusiano tayari mnafahamiana..Unajua mwenzio Nini hapendi nini anapenda.
Naye anakujua vizuri..Kuna muda anaiona tone yako hata kabla hujazungumza sana.

Na hakuna raha kama kuwa na mpenzi ambaye ni rafiki yako.
 
Atakuja saa usiyoitarajia na hautatumia nguvu Wala.
Mungu ni mwaminifu sana.


Shetani anaweza kukudanganya kukuwazisha kuwa umechelewa..au kwanini usivuruge mahusiano Yao,au anakuwazisha kwamba hutapata kwingine,heri ugombanie hapo.
Anakushawishi kwamba kuanza upya tena mbona itakuwa kazi.

Ila zote hizo huwa ni mbinu za kutulaghai..
Anajua kabisa yaliyo mbele yetu ni mazuri.
Unavuruga mahusiono kiaje ya watu waliopendana ? utaishia kujipa stress una wish watengane dua inabadirika wanazidi kupendanaaa kama penzi jipyaa.. issue ni kusonga mbele na kutafuta wako
 
Ubatili eeeh?
Mtu akikusoma mbona unampoteza sana🤣🤣🤣🤣


Aloo nishaandaa skuna na gauni,Nasubiri location nije kupiga ubwabwa mie.
Mapenzi ubatili mtupu, Bwana kwanza anakaribia kurudi, bora kubaki kama mtawa unamtumikia Bwana. Hupungukiwi neno kuwa single hata nawashangaa tu watu wanao angaika na mapenzi.. 🙃🙃
 
Back
Top Bottom