Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20221023_135751_438.jpg

Wacha tulee Wajukuu wa kuwatuma Dukani wakikua 🤪

Guys, it's already weekend 🥂
 
Acha tu the guy ni rafiki yangu kweli
So siku hizi hadi namuavoid kabisa
Akisem tumeet sehemu najifanya nipo busy siku hiyo .

Umesema sahihi dear nifocus tu yangu
Dah!
Niliwahi kuwa na rafiki wa hivyo..
Alikuwa rafiki yangu sana hadi watu wakahisi tuna date.

Sema ule urafiki ungeendelea mwishowe mahusiano yangezaliwa.

Ulipungua baada ya Mimi kuwa dabo.
 
Dah!
Niliwahi kuwa na rafiki wa hivyo..
Alikuwa rafiki yangu sana hadi watu wakahisi tuna date.

Sema ule urafiki ungeendelea mwishowe mahusiano yangezaliwa.

Ulipungua baada ya Mimi kuwa dabo.
Yeah inatokea Sana , I had a friend of mine wakati wa Chuo , we were so close .
Marafiki wa kiume wanasave sana .
 
Mno
Yeah inatokea Sana , I had a friend of mine wakati wa Chuo , we were so close .
Marafiki wa kiume wanasave sana .
Alikuwa ananipambania ..Tena alikuwa kipanga darasa lao akawa best student..
Mimi nilikuwa nyuma yake darasa moja ila kozi zetu Kuna masomo core tunasoma wote. Alikuwa ananipiga msasa Yale masomo,muda wote nimemganda nasoma naye.
 
Asubiri Nature ufanye kazi yake ausio ✌️✌️ Inapendeza sana!
Inaonyesha alishafika hatua za mbali.

Ila ingekuwa bado mapema mambo yangewezekana.
Mahusiano yoyote huanzia kwenye urafiki..Unaplay part yako kama rafiki,,baadaye mara mambo yanageuka.
 
Huyo gelo wakee akikaa kizembe mbona meza inapinduliwa vizuri huwajui wanaume wewe!!
Merely ,
Na si vizuri kuvunja mahusiano ya watu .
Labda itokee wenyewe wameshindwana.


Kuwa sababu ya mahusiano ya mtu kuvunjika aisee msala.
 
Back
Top Bottom