Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna watu wanavuruga aloo😂
Wanatafuta tu vitu vya kuwagombanisha watu.
Hakukuwa na upendo . Palipo na upendo na Mungu yupo, utakunya na kufa watu wapo vile vile wanazidi kupenda, na ukivuruga ya watu ili mtu ajibanze yeye ( apandacho mtu ndicho atachovuna ) karma sio ya mchezo mchezo
 
Mapenzi ubatili mtupu, Bwana kwanza anakaribia kurudi, bora kubaki kama mtawa unamtumikia Bwana. Hupungukiwi neno kuwa single hata nawashangaa tu watu wanao angaika na mapenzi.. 🙃🙃
Wanaoweza kujicontrol wabaki

Tusioweza basi acha tujiandae kuijazs dunia pamoja,kama Mungu alivyoagiza..huku tukila raha pia.
 
Unamjua sana.
Yaani Hadi kuingia kwenye mahusiano tayari mnafahamiana..Unajua mwenzio Nini hapendi nini anapenda.
Naye anakujua vizuri..Kuna muda anaiona tone yako hata kabla hujazungumza sana.

Na hakuna raha kama kuwa na mpenzi ambaye ni rafiki yako.
" Na hakuna raha kama kuwa na mpenzi ambae ni rafiki yako"

Hapa umemalizaaaaaa umeuaaaaaaa nakaziaaaa 🔨 🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨!😘😘😘😘😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
 
" Na hakuna raha kama kuwa na mpenzi ambae ni rafiki yako"

Hapa umemalizaaaaaa umeuaaaaaaa nakaziaaaa 🔨 🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨!😘😘😘😘😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Picha ndio inasubiri urafiki, unaonjwa kwanza ndio mnakuwa marafiki, urafiki usio na benefit haupo 🤣🤣
 
Kama hawajasimama vizuri na Mungu unadhani hapenyi😃
Na mahusiano yetu mengi vijana ya siku hizi yamekuwa na mienendo isiyompendeza Mungu..ni rahisi shetani kupenya.
Vijana poleni sana.
kinachofanya adui aruhusiwe, ni wapenzi kutokuwa na maono.

Pasipo maono taifa haungamia...

kitu chochote kama hakina maono kina kufa, ogopa sana kuwa na mpenzi asie na maono na ambae hatambuliki na Mungu, nae hamtambui na ni mvivu kwa mambo ya rohoni na ya Mungu.. ukji connect nae jiandae kisaikolojia maana huyo ndio anakuwa lucifer wako😅😅😅
 
Unamjua sana.
Yaani Hadi kuingia kwenye mahusiano tayari mnafahamiana..Unajua mwenzio Nini hapendi nini anapenda.
Naye anakujua vizuri..Kuna muda anaiona tone yako hata kabla hujazungumza sana.

Na hakuna raha kama kuwa na mpenzi ambaye ni rafiki yako.
"Unajua mwenzio Nini hapendi nini anapenda.
Naye anakujua vizuri.."

Thats reality... kinyume cha hapa lazima usimulieee ...Mambo ya kukutana na kuparamiana hayo wanayaweza malaya tu!
 
Vijana poleni sana.
kinachofanya adui aruhusiwe, ni wapenzi kutokuwa na maono.

Pasipo maono taifa haungamia...

kitu chochote kama hakina maono kina kufa, ogopa sana kuwa na mpenzi asie na maono na ambae hatambuliki na Mungu, nae hamtambui na ni mvivu kwa mambo ya rohoni na ya Mungu.. ukji connect nae jiandae kisaikolojia maana huyo ndio anakuwa lucifer wako😅😅😅
Ndiyo maana tunasisitizwa kuwa na watu ambao kwanza ndani Wana Mungu.

Nao vijana huwa hawana Muda na Mungu,wanasubiri tu wapate mabinti wazuri kutoka Kwa Mungu😊.


Kweli Big,Pasipo maono watu husshindwa kujizuia .
 
Atakuja saa usiyoitarajia na hautatumia nguvu Wala.
Mungu ni mwaminifu sana.


Shetani anaweza kukudanganya kukuwazisha kuwa umechelewa..au kwanini usivuruge mahusiano Yao,au anakuwazisha kwamba hutapata kwingine,heri ugombanie hapo.
Anakushawishi kwamba kuanza upya tena mbona itakuwa kazi.

Ila zote hizo huwa ni mbinu za kutulaghai..
Anajua kabisa yaliyo mbele yetu ni mazuri.
Amen dear ubarikiwe
Sema jamii tunayo ishi changamoto ukiwa mwenyewe unaonekana vibaya
 
acha tulale sasa, mashangazi wenyewe wa JF hawatutaki mabinti hawatutaki.. hata tukiomba utelezi hawatoi.. huku hapa mnasema mpo single hamueleweki 🤣🤣
Unalalaje bila kutubless mjomba do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!!
Humu tunachat kusogeza masaa na kuchangamsha tu mjomba kila mtu tayari ana mtu wake !
 
Ndiyo maana tunasisitizwa kuwa na watu ambao kwanza ndani Wana Mungu.

Nao vijana huwa hawana Muda na Mungu,wanasubiri tu wapate mabinti wazuri kutoka Kwa Mungu😊.
Ndio maana ni vyema mkae single maana wakati ni mchache sana wa Bwana kurejea hampungukiwi jambo.. mkizidiwa sana na ashki tupo vijana tutawasaidia kuziondoa ila hatuna hela tu
 
Back
Top Bottom