Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
We run the world 😂😂Girls girls girls![]()
We run the world 😂😂Girls girls girls![]()
Nipo kitandani shangazi labda kama unataka kuona de libolo la mjomba ako 😉😉Unalalaje bila kutubless mjomba do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!!
Mabinti wanachezea fursaaaa!
Ndiyo maana tunatafuta vijana wanaojitambua na wenye uhitajiNdio maana ni vyema mkae single maana wakati ni mchache sana wa Bwana kurejea hampungukiwi jambo.. mkizidiwa sana na ashki tupo vijana tutawasaidia kuziondoa ila hatuna hela tu
Vijana wa hivyo wameisha, na wa mwisho nilikuwa mimi, wengine labda uanze kazi ya kuwaumba au kumuumba 🤣🤣🤣Ndiyo maana tunatafuta vijana wanaojitambua na wenye uhitaji
Tuanzishe familia chini ya baraka za Mungu.
Hilo hapana aisee nisamehe mimii nimekosaa sana sirudii tena🙌🙌🙌🙌🙌!!Nipo kitandani shangazi labda kama unataka kuona de libolo la mjomba ako 😉😉
Utelezi kwanzaaa 😊😊Hayo ndio mambo ya kileo mjomba !! Tabu kweli kweli!
Rey huyooooo!!
Safi sana.
Aende tu private akapambane na vipanga wenzie.


ahsante dear tuombe Mungu tupate uhai na uzima wa kutafuta pesaKwendaaa😂😂😂😂😂😂😂😂Vijana wa hivyo wameisha, na wa mwisho nilikuwa mimi, wengine labda uanze kazi ya kuwaumba au kumuumba 🤣🤣🤣
Mungu ataachilia mipesa..ahsante dear tuombe Mungu tupate uhai na uzima wa kutafuta pesa
TuoneNipo kitandani shangazi labda kama unataka kuona de libolo la mjomba ako 😉😉
Saint shikamooMbao za Mawe cha utundu
Captorhinomorphs shikamooAchana na wale ambao wameenda kusoma, pata yule ambaye ameenda nje yuko kwenye social environment ambayo anazungukwa na watu wa jamii hyo,,
Nlienda shirati for a year,, nlivorudi moro kiswahili kinanipa shida,, lazima nichanganye kijita ndo niongee
Yani kweli aiseeShetani hutumia jamii pia kupressurize watu wajione wamechelewa😂
Ccy Maggie shikamooahsante dear tuombe Mungu tupate uhai na uzima wa kutafuta pesa
Tubariki na kapicha dada mzuri wa MwanzaPouwaaah😊
Anthem shikamooUtelezi kwanzaaa 😊😊
Yani kweli aisee
Japo ndo kwanza mtu mwenye mtoto wanayetaka aolewe .
Naomba nipate wa ainna hiyo kwa kweli .Unamjua sana.
Yaani Hadi kuingia kwenye mahusiano tayari mnafahamiana..Unajua mwenzio Nini hapendi nini anapenda.
Naye anakujua vizuri..Kuna muda anaiona tone yako hata kabla hujazungumza sana.
Na hakuna raha kama kuwa na mpenzi ambaye ni rafiki yako.
Mambo dearTinsley shikamoo
😂😂😂Vijana wa hivyo wameisha, na wa mwisho nilikuwa mimi, wengine labda uanze kazi ya kuwaumba au kumuumba 🤣🤣🤣