Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Marahabaa my wizooo mzima wewe😘

Huyo kaka yako alinikimbia akaenda kwa Anntonia now kabaki kuwa boss wangu na kibanda cha vocha alikigawaa
Nasema uongo boss Mjep
Sweetheart umerudi laazizi,
usiwasikilize hao wanataka kutugombanisha
Kibanda cha vocha hicho ni chako

Huyo Antonnia asikutishe yuko na uncle wake National Anthem wanakula maisha huko

Wewe ni wangu mama.....💕😍
 
Mim na Antonnia ndio mawifi zako dam dam na mumeo...... kibanda cha vocha naomba tukukabidhi rasmi
Kabisaaa sis awe na Amani kabisa wifi etu mzungu Alayna mie mr Vocha Simuweziiii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
Nataka bwana mzunguu sis tena kizeee au kama ni mbongo nataka kibabuuu kabisa nifanyie koneksheni sis ake nakuaminia!! Vijana mambo miambiliii kidogooo!! Siwawezi Mie!!🙌
 
Sweetheart umerudi laazizi,
usiwasikilize hao wanataka kutugombanisha
Kibanda cha vocha hicho ni chako

Huyo Antonnia asikutishe yuko na uncle wake National Anthem wanakula maisha huko

Wewe ni wangu mama.....💕😍
Vijana mie nawawezea wapi mr vocha mie hizo hekaheka nishamaliza kitamboooo nawaachia bints vigoriiiiii!!
Mie kama kuna mzee fanyeni kunipasia hapaaa 🙇🙇
Ila humu sewaweziiiii🙌🙌🙌🙌🙌
Mjomba ana watu wakeeee huyooo hata wee wajua hiloo mr Vocha 😉 ila vibinti vinashindwa hata kumsafisha sharubu nikaona jana nimsaidie kushevu tu mjomba Wangu mapenzi nishastaafu kitambo sana miee!!
 
Back
Top Bottom