Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna watu watakutia moyo kipindi unapoanza harakati za kimaisha, ila ukishaanza kufanikiwa wataanza kukuwekea vikwazo. Kumbuka sio wote wanafurahia mafanikio yako, na ukifeli tuu wataanza kusema alikuwa anajiona sana. Usifanye jambo kumfurahisha mwanadamu hata siku moja maana maadui ni wengi sana na huwezi kuwatambua.
Ahsanteeeeeeeeeh kwa ujumbeeeee,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom