AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,269
Hamna mamieeeeeeeeeeeeeeMbona kalendaa tena mkuu siasa sio poa ujue!
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Hamna mamieeeeeeeeeeeeeeMbona kalendaa tena mkuu siasa sio poa ujue!
Kwahio nisubirie eeh?? Haya nipo hapa nibless sasa
Subiri saa 8 usiku 🤣
Nitakua nawanga muda huo auSubiri saa 8 usiku 🤣
UnaromantikaNitakua nawanga muda huo au
Nani huyo mwenye kiherehere
Hehe hilo nitalifikiria mwaya..haya nambie kilichokua kinakufanya unitafute kama mkojo wa sisimizi





khaaaaahWeeeeehh acha mambo yakooo Rumeee mshepu Nambari wani Africa Mashariki kusi na kasi zakeee!! jicho sasa ninouuuuumaaaa!!![]()







Nipo nimejaaa teleeeee,Jukwaa limechangamka yaani mekuwa mgeni sijui wale wakongwe kina Antonnia Mjep Mshana Jr cocastic Depal mawardat Saint Anne Shimba ya Buyenze na wakongwe wote bado mpo.





Haujui nimepata ajira wee??




niwachee niwajibikeee. Wapi cocastic mlongo akeeee!! Unapitwa hukuuuu mtoto bebifesiiiii jicho la kunguuuu!
Nougaaa sana mlongo!!






irudiweeeeee. Rudiaaaaaaaa,....Yani wewe
Mlongo anapitwaa leo..Mambo bull bull..maiya na bebifesi yake leo
![]()







WauuuuweeeeeeeeehhhhhhKitu nakkedd kabithaaaaaa ndiooooooooooo!!
Mtoto lippppsssjichooo thathaaa mie hoooiiiuuu
!
Wakora muno murembooo!! In nshomiles voice
cocastic mlongo akeeee unapitwaaaaa hukuuu






irudiweeeeeee, Nlimfichaaa shougaaaa angu, woiiiiiihMadam cocastic alikupeleka wapi??
Maana umepotea sana hapa
Iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee!! Wabheja sana mr vouuchaaaa! Bothi kasemaaa hapaaa thitokiiiiii
!!!
Leta vitu leta vituuu bossi kubwaaa Africa Mashariki kusini na kaskazini koteeeee!!![]()







khaaaaaahkhaaa jamani malkia Elizabeth huyu huyu nawaza hapa nitakua mdogo wake wa ngapi sio kwa ule uzee
![]()







Tr 13 uje kula cake![]()






bethidei au ndoa/? Umenistuaa mnooo. Ungenifanyia hv mimiungekuwa uko kwa therapist unatibiwa ptsd






thubutuuuuuuuh. Ahsanteeeeeeeeeh kwa ujumbeeeee,Kuna watu watakutia moyo kipindi unapoanza harakati za kimaisha, ila ukishaanza kufanikiwa wataanza kukuwekea vikwazo. Kumbuka sio wote wanafurahia mafanikio yako, na ukifeli tuu wataanza kusema alikuwa anajiona sana. Usifanye jambo kumfurahisha mwanadamu hata siku moja maana maadui ni wengi sana na huwezi kuwatambua.