Asante kaka poker nitaselfika asubuh naona kausingiz kananinyemeleaDuh nilimiss vinono kweli na yale macho yako mashallah!
Nikutakie njozi njema mremboo uniote ndotoni ila iwe ndoto nzuri.Asante kaka poker nitaselfika asubuh naona kausingiz kananinyemelea
Dyadyaaaaaaa nipo sahiv, tupiaaaCoca mdogo angu upo nitupie?





cocastic mdogo wangu
Si nilianza hile story kule
Mja mmoja akanifuata pm kunipopoa kwanini nimeweka nusu
Na kwenye uzi wakaanza,nikauedit nilifuta nilichoandika
Najijua mwenyewe siwezi kuhimili maneno ya waja,story itaniliza mie nitaishia kulia tu siwezi
Chap nikamfuata mods nikamwambia anifutie uzi![]()






dyadyaaa nimechekaaaa mnooooooo. Mnachat kuhusu nini?
Mbona kama mnagombania jinsia![]()






khaaaaahShangaziiiiii nifundisheeee kimombooooo,Irrigation of heart![]()






Sasahivi unaoneka kwa machale ntafunga gps na notification ya kwako pekeyako





Sasahivi unaoneka kwa machale ntafunga gps na notification ya kwako pekeyako
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app







kwann sasa jomoneeee, vibaya hvyooo
Ndo ile umenunuliwa nguo mpya unatamani sikuku ifike haraka






Ndo ile umenunuliwa nguo mpya unatamani sikuku ifike haraka
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app







wee hapanaaaa.
😂😂😂Hiki changu Cha la Saba B unakitaka
Ndyoooh nakitaka shangaziiiiiii,Hiki changu Cha la Saba B unakitaka





