Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni swala la mda tu, kurudi kwako kutakuwa kwa kishindo🤣🤣, usije kuparamia dada zetu tu haha!!
😀😀😀 Hii ya mwisho sitorudia tena, nakumbuka nilisha kaa miaka miwili, Siku nilipo jichanganya hadi nikabaki najiuliza ni mie huyu au naota.. But sasa hivi nime dhamiria 100%.. Sasa hivi nimekuwa kabisa usher wa kanisa flani asubuhi tu unanikuta nasafisha vyoo, ili Mungu anitie nguvu ya kushikilia hapo hapo
 
Mjep naomba vocha ninywe dawa zangu
FB_IMG_16635350433432412.jpg
 
Hii ya mwisho sitorudia tena, nakumbuka nilisha kaa miaka miwili, Siku nilipo jichanganya hadi nikabaki najiuliza ni mie huyu au naota.. But sasa hivi nime dhamiria 100%.. Sasa hivi nimekuwa kabisa usher wa kanisa flani asubuhi tu unanikuta nasafisha vyoo, ili Mungu anitie nguvu ya kushikilia hapo hapo
Hongera, kama vipi vita jiko ule kwa uhuru na haki kikatiba.
 
Back
Top Bottom