Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,997
- 137,013
Kanituma nikuulize,eti vocha ya aina gani??Ww mzee unanigandisha nasubir vocha
Kanituma nikuulize,eti vocha ya aina gani??Ww mzee unanigandisha nasubir vocha
😀😀😀 Hii ya mwisho sitorudia tena, nakumbuka nilisha kaa miaka miwili, Siku nilipo jichanganya hadi nikabaki najiuliza ni mie huyu au naota.. But sasa hivi nime dhamiria 100%.. Sasa hivi nimekuwa kabisa usher wa kanisa flani asubuhi tu unanikuta nasafisha vyoo, ili Mungu anitie nguvu ya kushikilia hapo hapoNi swala la mda tu, kurudi kwako kutakuwa kwa kishindo🤣🤣, usije kuparamia dada zetu tu haha!!
Watu wataka vocha banaaa.. Ebu usiturushe mtaalamuPoa mrembo
Nimetupia selfie 😅
Selfie yangu huitaki boss mkubwa?
Tuselfike kwanza mkuuWatu wataka vocha banaaa.. Ebu usiturushe mtaalamu
Hongera, kama vipi vita jiko ule kwa uhuru na haki kikatiba.Hii ya mwisho sitorudia tena, nakumbuka nilisha kaa miaka miwili, Siku nilipo jichanganya hadi nikabaki najiuliza ni mie huyu au naota.. But sasa hivi nime dhamiria 100%.. Sasa hivi nimekuwa kabisa usher wa kanisa flani asubuhi tu unanikuta nasafisha vyoo, ili Mungu anitie nguvu ya kushikilia hapo hapo
Miwani imepasuka hivyo sioni mieSelfie yangu huitaki boss mkubwa?

Muone kichwa😅😅😅
🤠🤠🤠 Dah! Jiko tena, msala huoHongera, kama vipi vita jiko ule kwa uhuru na haki kikatiba.
Halotel natumia shemejiKanituma nikuulize,eti vocha ya aina gani??
🙄🙄Mdogo wangu Unaendeleaje Lenie 😂😂
Mzab wala hana swagaMuone kichwa
Nitamuita mazab zab hapa


Kaka mkubwa mzabzab tunasimangwa hapa kakaMzab wala hana swaga
Yeye sasa ananiogopa mie![]()
Huyu Mjep ana nyota ya kimahaba nikiwa mkubwa nataka niwe kama ww boss Mjep