Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,532
- 81,260
Kana ningekupa ila hutakiNiliyempa nini?
Ile kazi ya uhousegirl bado natafuta,Hizo za mitamboni siwezi.
Kana ningekupa ila hutakiNiliyempa nini?
Ile kazi ya uhousegirl bado natafuta,Hizo za mitamboni siwezi.




Ww mzee unanigandisha nasubir vochaSisi ndiyo Wazee washauri wa Nchi, tumebaki wachache mno kutokana na umri wetu![]()
Sisi mabingwa wa mchongo tuna makombe mengi mbona tunaanzia kwa mkapa hatukubal tunaenda fifa
Mzee na kaemoji kake kananipa wasiwasiWw mzee unanigandisha nasubir vocha
Huyu mzee siyo wa kumuamini anakuuza mchana kweupe
Kaemoji kama kanakukazia hiviHuyu mzee siyo wa kumuamini anakuuza mchana kweupe






Hebu toa hiyo emoj itakukaba.
Ndevu nzuuri zimefichwa na emoj

Na mimi nataka kujaribu Nkamu..
Niongeze mwili.
Nkamu wetu mrembo,nimependa magoti yako..Umenimotivate kuyascrub ya kwangu.

Aiseee...sexual sins affect the body and once the devil gets you, your body, spirit and soul will go into bondage. Do not sin against your body. Sex is such a powerful mystery that is capable of leading you into deep bondage.😴😴😴😴
Wewe ERoni toa emoj ileha ha ha na mimi nimeona ndevu nikataka kucomment ujinga nikaacha![]()
Nyayo zilivyolainika kidogo nikaacha..Sasahivi nimeanza tena.Nkamu kama inaongeza mwili basi niiache maana nimepamaba sana kufika hapo
vipi nyayo unaendeleaje?
Magoti huna haja ya kuyascrub kikubwa ukiwa unapaka mafuta yakunje na usilale bila kuyapaka mafuta ya maji
Mbona ulininyimaKana ningekupa ila hutaki
Na miezi sasa toka nimeacha, nimekuwa kocha 😀😀Umepumzika kidogo tu mkuu.
Hatari ndo pishi gani hiloraraa rereeharaka haraka unakuja toa boko.. Inabidi kwenda mgahawani.. Baada ya kupaisha penatiView attachment 2361642View attachment 2361643
Selfie zihusikeMselfike
Poa mrembo
Ni swala la mda tu, kurudi kwako kutakuwa kwa kishindo🤣🤣, usije kuparamia dada zetu tu haha!!Na miezi sasa toka nimeacha, nimekuwa kocha 😀😀