Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,765
- 182,893
Mbona umefurahi mkwe?Hahaha...
Mbona umefurahi mkwe?Hahaha...
Ongeza sauti asikie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Weraaa weraaa [emoji298][emoji91][emoji322][emoji322][emoji322][emoji323][emoji323]fitina za Atoto zimeshindwaaaa... Zimechukuliwa na upepo wa kisulisuliiiii.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tena bila daliliiiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji109][emoji117][emoji109]
Naona ni zamu yako kukimbiaNipo saaaaana!
Ila ratiba zangu si unazijua..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakazia mimi jamani
ShkamooVipi mama?
Hebu niache huko, unadhani majungu unayonipigaga siyasikiagi? [emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie hiyo njiti ndio naipenda mie...!asitake makuu
Mie akija kunililia viboko vitamuhusu.Ndio hapo sasa... wengine tunafanya kuepuka kompetishen
Sina hata ubavu, kazi yangu ni ku-like na kusifia kazi ya Mungu kwenye sred hii.Hapana, mimi ni wako mpenzi wangu. Niambie tu nini mbaya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtoto mpana wewe[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kipindi nasoma chuo, vile vitanda vya deka tulikuwa tunalala watatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana tulivyo wembamba hatukuona haja ya kulipia vitanda vitatu kimoja tuu kilikuwa kinatosha.
Nimekumbuka mbali sana, na tulivo wembamba sasa, usiku ukigeuka tuu mifupa ya mwenzako inakuumiza. Yaani kama umalalia magogo vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada acha kunijaza kichwa nije ninenepe huku juu kama baunsa[emoji23][emoji23] sitakusamehe haki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwakweli hebu fyatua mdogo wangu. Dada nipo nitakusaidia kulea.
Sio wachaga wote hunenepa bila mpangilio, wapi visu hatari, nawe ni mmoja wao[emoji7][emoji7][emoji7]
Marahabaaa!! U jambo muhazini?Shkamoo
Tupaze sauti katika hili!Punguzeni manenoo banaa, picha hata za vijiko basi
Oooh!! Hapo sawa.Sina hata ubavu, kazi yangu ni ku-like na kusifia kazi ya Mungu kwenye sred hii.
Ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani.Muache tu ahangaike, asijemtafuta mchawi baadae. Anadhani hao tukunyema hukuwaona?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dada acha kunijaza kichwa nije ninenepe huku juu kama baunsa[emoji23][emoji23] sitakusamehe haki.
Hahahaha! Sikuwezi..Oooh!! Hapo sawa.
Jamani Eli akija pm kwenu mnipe taarifa, nina moyo mdogo mimi competition siiwezi[emoji134][emoji134]