Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,126
Mbona umefurahi mkwe?Hahaha...
Mbona umefurahi mkwe?Hahaha...
Ongeza sauti asikieWeraaa weraaafitina za Atoto zimeshindwaaaa... Zimechukuliwa na upepo wa kisulisuliiiii....
tena bila daliliiiii
![]()




. Naona ni zamu yako kukimbiaNipo saaaaana!
Ila ratiba zangu si unazijua..
ShkamooVipi mama?
Hebu niache huko, unadhani majungu unayonipigaga siyasikiagi?Mwambie hiyo njiti ndio naipenda mie...!asitake makuu



Mie akija kunililia viboko vitamuhusu.Ndio hapo sasa... wengine tunafanya kuepuka kompetishen
Sina hata ubavu, kazi yangu ni ku-like na kusifia kazi ya Mungu kwenye sred hii.Hapana, mimi ni wako mpenzi wangu. Niambie tu nini mbaya?
Kipindi nasoma chuo, vile vitanda vya deka tulikuwa tunalala watatumaana tulivyo wembamba hatukuona haja ya kulipia vitanda vitatu kimoja tuu kilikuwa kinatosha.
Nimekumbuka mbali sana, na tulivo wembamba sasa, usiku ukigeuka tuu mifupa ya mwenzako inakuumiza. Yaani kama umalalia magogo vile![]()





Dada acha kunijaza kichwa nije ninenepe huku juu kama baunsa
Kwakweli hebu fyatua mdogo wangu. Dada nipo nitakusaidia kulea.
Sio wachaga wote hunenepa bila mpangilio, wapi visu hatari, nawe ni mmoja wao![]()

sitakusamehe haki.Marahabaaa!! U jambo muhazini?Shkamoo
Tupaze sauti katika hili!Punguzeni manenoo banaa, picha hata za vijiko basi
Oooh!! Hapo sawa.Sina hata ubavu, kazi yangu ni ku-like na kusifia kazi ya Mungu kwenye sred hii.


Ha ha ha ha ha haMuache tu ahangaike, asijemtafuta mchawi baadae. Anadhani hao tukunyema hukuwaona?






jamani.Dada acha kunijaza kichwa nije ninenepe huku juu kama baunsasitakusamehe haki.





Hahahaha! Sikuwezi..Oooh!! Hapo sawa.
Jamani Eli akija pm kwenu mnipe taarifa, nina moyo mdogo mimi competition siiwezi![]()