Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ubarikiwe sana Tajiri mzee
Mzee mwenye ghorofa masaki
Umetaja Ghorofa la Masaki, isingekuwa kukutana na Vijana wa Mjini saivi ningekuwa nalo hilo Ghorofa.

Shida hao Vijana wa Mjini si waliniuzia Kiwanja pale Coco Beach Maji yakiwa yamekupwa, Ile baadaye napeleka mafundi kuanza Ujenzi si nikakuta Uwanja umejaa Maji 🙆
 
pole sana

Sema yule wakati anakuandama akaniingiza na mimi ashukuru alikuta sina maruwe ruwe kichwani

Ikogo tu a very nameless day, atatolewa mtu mafua na vitumbua vitaingia mchanga
wee yuleeee alinitakaaaaaa ila kanikutaaaaa sina hulka na magume gume ya duniani, mwanzoni kabisaaaa alikuwa anakuja kwa space, nakumbukaa had aaanze bifu, eti alitaka story of ma lifeee,. Na nime date na watu wangapiiiii?? Kheeeeeh nkaona huyu analeta mambo meusi.

Nkampaaa cha mbavuuuu ndo akaaanza kuletaaa kisirani chakeeee.
 
Umetaja Ghorofa la Masaki, isingekuwa kukutana na Vijana wa Mjini saivi ningekuwa nalo hilo Ghorofa.

Shida hao Vijana wa Mjini si waliniuzia Kiwanja pale Coco Beach Maji yakiwa yamekupwa, Ile baadaye napeleka mafundi kuanza Ujenzi si nikakuta Uwanja umejaa Maji
Nyie wazee mna hela sana tatizo mmekua wabahiri sana
 
Back
Top Bottom