Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Nenda pm kwake unakata tamaa mapema shemejiHawatutaki sasa tufanyaje, si umeona shangazi kani mind moja kwa moja, hata salama hatakiunafikiri huku kwingine tutapa kweli.. Acha nifarije na kasuku
Ubuyuuuuuh ganiii,We Coca hebu achana na commentz za Jana..
Endelea hapahapa pa Leo ,hebu kamilisha ubuyu
Mwingine tena πββοΈnimecheka mnooooo. Huyu ni mwinginee,
Yuleee huwa tunacharuaaaanaaaaaa PM, afu sasaa kumbeee mwanzoni had no angu alikua nayo ya zaman kabla ya hii ya sasa, nakumbuka alitakaa sana tukutaneee, nkamtoleaaa nje. Na huyu nae ana ID 2. JF lol.
Eti kasemaga ningejichanganya kukutana nae, angenionesha upande wa pili wa Dunia.
Nacheeeeekaaa lol.
π€ π€ π€ Hata nikimsalimia haitiki, niki like kuonesha nimekubali matokeo no PM yake imefungwa.. Kanichukia tayari, ila fresh yote maisha kasuku wananipendaaNenda pm kwake unakata tamaa mapema shemeji
kweli ni wako vizuri ila tunaenda kusali na kumuabudu Mungu . hata iwe buku nayo ni sadaka kubwa kwa Mungu . toa ndugu ulichonacho wewe , Bwana atakuona .Khaa wakishua huko mm sadaka yangu 1000 huko laki mm natoa wapi akuu nisije kupigwa Kofi na mchungaji mie
Weee Mr vochaaaa, Umma wa JF unatambua kwamba mie natamba na vocha za buku buku kutoka kwako.nimeumbuka live
Naondoka huku nikiweweseka kiwenda wazimu....
Hawakujuiiiii wanakusikiaa tyu shoste akee!!! Waingie kizembe uwanyooshe akili iwakae sawa kwanza hahaha!!na nilimfurahisha mbonaaaaaa. Watu wamevurugwa na lifeee, wanataka kupumzikiaa kwangu, wananijua wananisikia????
Uwiiiiiiiiih
Dodo chini ya mubuyunapendwaaaaaaaaaaa!!!! Aririiiiiiiih
Dohooo atakua anakupenda huyo ww kaza kamba hapo hapo shemejiHata nikimsalimia haitiki, niki like kuonesha nimekubali matokeo no PM yake imefungwa.. Kanichukia tayari, ila fresh yote maisha kasuku wananipendaa
Ndio kaboa π€£π€£π€£ππππ apiaaa?
Kile kimemaliza ucute woteee
Utanitolea sadaka tukasali hukokweli ni wako vizuri ila tunaenda kusali na kumuabudu Mungu . hata iwe buku nayo ni sadaka kubwa kwa Mungu . toa ndugu ulichonacho wewe , Bwana atakuona .
Naona anatamani hata kunimwagia mafuta nikafe mbali, nina damu ya kimba, nani anapenda kucheza na kimba π€£π€£π€£.. Kama yupo nimekaaa paleDohooo atakua anakupenda huyo ww kaza kamba hapo hapo shemeji
Kaka mzuri π next levelIle ya kaka mzuri imezidi, ina kambembelezo flan hivi ndani yake
πππππ ππNdio kaboa π€£π€£
Labda sijui afanyaje kurekebisha makosa
Mbonaaaa nimetuliaaa Hakyanani kupatwa kwa cocasticccc!
Sasa hakujua wee mafia mdeadly ulieshindikana kabisaaaa alipatajee ujasiri kufata hiko kichwaa mbovu Akili zako unaezijua mwenyeweeee hahahahah!!
Hii comment nitaijibu vizuri private ππππππ ππ
Ndio nitolee hiyo naona
Mwe afadhali
Leo Bwana ametenda muujiza,kameshuka chini.
Haya,nasubiri utaje hizo IDs shossteee
Taja taja tuponeee
Pm yake ulienda lknNaona anatamani hata kunimwagia mafuta nikafe mbali, nina damu ya kimba, nani anapenda kucheza na kimba.. Kama yupo nimekaaa pale
Nimechekaπ€£π€£π€£Huyo huyo, ngoja usiku nimpigie