Ningekua sijatulia nisingeweza kuwataja hadharani hivyo maana ningeogopa michepuko ππHautulii kwenye mahusiano ndyo maana upo kwa National Anthem mara Mjep
Anachepuka eeh π€ π€ π€ basi hafaiHautulii kwenye mahusiano ndyo maana upo kwa National Anthem mara Mjep
π€£π€£π€£π€£ you nailed it π₯Hapo kwanza inatakiwa ujue no one is perfect as unamuona John chapombe ila wewe hujioni kama ni mvivu au una tabia zingine za ajabu.
Navyoona ni vema ukawa na yule ambaye changamoto zake unaweza kuzibeba mkakaa mkaongea kila mtu akamuweka wazi mwenzake madhaifu yake then maisha yanasonga.
Maana tukisema tutafute yule ambaye ni full package (tall, dark, handsome, romantic, ananukia vizuri π bila kusahau acc imetuna hana stress za tozoπ ) alooo utajikuta kila mtu unamuona hafai sasa mwisho wa siku unaamua tu liwalo na liwe.
Na mie si houseboy wa ShangaziBontel wanatumia housegirl
Mbonaaaa nimetuliaaa Hakyanani kupatwa kwa cocasticcccπ€£π€£π€£π€£π€£π€£!kuna mtu kanikatazaaa umbea, cha ajabu sasa umbea unanifata wenyewee na una nitiiiii.
Tulia kwanzaaaaaa.
Heeeπ€£π€£π€£Na anasauti tamu huwezi amini kama sio msukuma vile
Nature iko hvyoand we can't changeSo tunapaswa tuifate necha? Got you dada
So unatushaurije wale ambao we meet guys ambao tunaona kabisa they donβt meet our vigezo?
Tusiwaache? Alisema Alexprosper kwamba mwanamke anatakiwa akae hapo asubirie mume ajeβ¦
Sasa ndio ukazaliwa na nyota ya paka, wanaokufata we huwataki? Tunachomokaje hapo?
WeeeeNa anasauti tamu huwezi amini kama sio msukuma vile
KhaaaaπππππUsiombe Uwe na mahusiano na mtu anayetumia tecno afu awe msukuma au muha sasa utajuta
Wapo Ila wachache Sana kwa hizi life zetu hizi!Ni sahihi mwanaume ni kichwa cha familia.
Ila hapo kwa mwanaume ameumbiwa wanawake wengi naona kama tunawaendekeza na kukubali kukandamizwa sababu kuna mifano mizuri ya wanaume ambao ni wameweza kutulia na mwanamke mmoja na wamekua waaminifu.
Yaani huyo kisa kaachika jana basi anataka anifanyie figisu na mimi niachike bila kujua hiyo ni future impossible tense ππ
toa dislike ileJaman
Clapping for your bright mind πNature iko hvyoand we can't change
Then kwenye machaguoa hakuna mkamilifu my dear,angalia Kati ya zileamekidhi ngapi?we unahitaji Nini ?maana ukitaka mwenye vyote hayupo
Na kukaa kumsubiri kwa Sasa ni wachache wanapatikana kwa staili hyo,waweza ukawa upo jf kumbe ndo wako Mungu amekupangia umpate humu hvyoo,so popote mpenzi wa kweli anapatikana muhimu bi masharti na vigezo ,ukiona hakidhi we mteme tuuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ngoja sasa niende kule, maana nimeoma mapicha picha kama yote ππ€£π€£π€£π€£ you nailed it π₯
Staki anichek CAUSE hiyo namba sjatoa kwa ajil yake nazan utakuwa umenielewa vizur hayo maneno umeyoandika ni wewe na fikra zako SORRY.
π€£π€£π€£π€£ usipoelewa niite nikufafanulieNgoja sasa niende kule, maana nimeoma mapicha picha kama yote π
Wasiooa ni wa jf Ila mitaani km kawaaaNothing behind.. kuna uzi nimesoma ndio umenipa hilo swaliβ¦
Mtu kaandika eti wanaume tusioe.. wanamkubalia hapo weee
Na wakati mimi kwa huu mwaka tu nishachangia harusi 4 na Nov nina nyingine.. sasa hao wanaooa ni kina nani? Hawaijui jf ambayo inawaambia wasioe?