Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kwangu mimi naona ujinga kwamba sikuona huyo mtu sio.
nikaa zangu hapo sina habari .
Hiyo ndio tuna rudi kwa love is blind but not ujinga my dear..

Unampenda mtu
Anakukorofishaa balaa ila 7bu ya upendo wako kwake, unakuwa unachukulia poa.


Mimi nilishaachika huko zaman
Nikalia week karibia 8 😂😂

Nikafuta macho

Naendelea zangu kuumwagilia moyo na mapendo kwa anaendelea kupendana nami
 
Hua yanasaidia hasa ukimpata mtu mwenye real love
Nyie kinacho walizia ni hisia sio upendo. Upendo hauna huzuni wala hofu.. Mie naweza nikamfukuza mtu mda huo huo na huku nampenda na ni nisiwe na huzuni hata kidogo na huo ndio upendo.. Hata Mungu anapenda wema na waouvu hata atao wachoma motoni anawapenda pia. Kuwa na upendo haukufanyi uwe tahira
 
Katakuwa kameingia Field kajiniazi ketu ka Selfika.

Wakati unamsubiri tupia kapicha Madame
"Kama unajijua mpaka saivi hujachukua mtihani wako wa kemia mock usintafuteee👈👈!!
 

Attachments

  • IMG_20220915_112932_129~3.jpg
    IMG_20220915_112932_129~3.jpg
    410.8 KB · Views: 4
Eti Shangazi yenu😂😂😂😂😂🙌
Tangu amekuja huyu Bibi umeme unazingua.
Ila huku mjini ni mara Moja Moja sana.
Huko sasa🤣,,Kuna wenzangu wapo huko yaani wanalalamika umeme kila siku.
Shangazi anazingua

2019/2020/2021 ilikuwa mpk msikie matengenezo, napo ilikuwa nadra

Ila huu mwaka
Kuna siku ngoma ikikata saa 2 asubuhi, mtaiona saa 12 jioni..
Jumapili nimeshinda nyumbani, ilikuwa ni upo umekatika kama mara 4 hivi.

Shangazi yenu anazingua sana
 
Nyie kinacho walizia ni hisia sio upendo. Upendo hauna huzuni wala hofu.. Mie naweza nikamfukuza mtu mda huo huo na huku nampenda na ni nisiwe na huzuni hata kidogo na huo ndio upendo.. Hata Mungu anapenda wema na waouvu hata atao wachoma motoni anawapenda pia. Kuwa na upendo haukufanyi uwe tahira
Tuko very emotional hasa kwa watu tunaowapenda, nyie si ni wagumu mnajikaza ndani kwa ndani.
Sema ndio nature yetu
 
Shangazi anazingua

2019/2020/2021 ilikuwa mpk msikie matengenezo, napo ilikuwa nadra

Ila huu mwaka
Kuna siku ngoma ikikata saa 2 asubuhi, mtaiona saa 12 jioni..
Jumapili nimeshinda nyumbani, ilikuwa ni upo umekatika kama mara 4 hivi.

Shangazi yenu anazingua sana
Halafu sasahivi karibia kila siku wanawakatia🤣🤣🤣🤣
Tanesco Mbinguni hawaendi.
 
🤠🤠 Sasa kama hivi unanipenda na mwanangu an anipenda inatosha.. Hapa kuna vitu wehu wanachanganya kati ya mapenzi na upendo.. Watu tunahitaji kupendwa sio mapenzi.. Na upendo hauna baya, upendo ni kamilifu.. Ila mapenzi ni scum tu
Kwahiyo sisi ambao bado tumeshikilia mapenzi kwa wasiotupenda ni Wehu 😭
 
Back
Top Bottom