Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Wengine tumeamua kusamehe kutoka kwa ndugu zetu wa damuNdugu wotenaowakopesha hawajawahi kunilipa!! Asilimia kubwa ukimpa Ndugu hela sahauuu!
Wengine tumeamua kusamehe kutoka kwa ndugu zetu wa damuNdugu wotenaowakopesha hawajawahi kunilipa!! Asilimia kubwa ukimpa Ndugu hela sahauuu!
Ndugu ukiweza kumpa; mpe kiasi ambacho unaweza kuafford. Ila kuna ndugu wazungu kwelikweli; wanakopa na wanalipa; Mungu awabariki kwa kweli. Kama unaomba omba ijulikane moja; sio unakopa afu kulipa hutaki kisa ni hela ya ndugu yako.Ndugu zangu juzi walikuwa wananisema..Hadi nikaondoka.
Wanajadili..mmoja anasema yaani Mimi nimpe hela mtu ambaye siyo ndugu yangu??Siwezi!
Na nikimpa nahakikisha nadai🤣
Akina mama huruma sisi ni mazoba.Ndugu ukiweza kumpa; mpe kiasi ambacho unaweza kuafford. Ila kuna ndugu wazungu kwelikweli; wanakopa na wanalipa; Mungu awabariki kwa kweli. Kama unaomba omba ijulikane moja; sio unakopa afu kulipa hutaki kisa ni hela ya ndugu yako.
Aisee boss ledi basi wewe utakuwa kiongozi wetu mazoba...wazee wa kupigwa.Yaniii nina nature hio! Sasa afadhali humu najitahidi kidogo ukiniona live Anne huwezi amini hivi unamjua konokono kilaza wa kwanza kabisa kuongea!!?? Ndio mie sasa!
Kukuhurumia kukupa hela??Basi nitakulilia hadi unihurumie![]()
Inanipunguzia stress kidogoUpo na wajina
Wakukopeshe tena?Nilivyo maliza ka mkopo kao ka mchongo walitaka kunikopesha tena sikutaka hata kuwasikiliza![]()
Ahaaa sio hela bana🤣🤣🤣Kukuhurumia kukupa hela??
Hiyo nitakupa kama nitakuwa nayo.
Kama siyo hela ndio basi tena.Ahaaa sio hela bana![]()
Hii ni dinner?Safi sana
Tupige vyomboView attachment 2355695
Ni picha ya kitambo hiyo..nimeichukua ila ilikuwa dinner.Hii ni dinner?
Vipo vingi vya kunipa...Kama siyo hela ndio basi tena.
Huruma yangu ipo kwenye shida za hela na vyakula tu.
Amina🙏🙏Ndugu ukiweza kumpa; mpe kiasi ambacho unaweza kuafford. Ila kuna ndugu wazungu kwelikweli; wanakopa na wanalipa; Mungu awabariki kwa kweli. Kama unaomba omba ijulikane moja; sio unakopa afu kulipa hutaki kisa ni hela ya ndugu yako.
Nikajua recent pic☹️Ni picha ya kitambo hiyo..nimeichukua ila ilikuwa dinner.
Hebu vitajeVipo vingi vya kunipa...
Ngoja watoto walaleHebu vitaje
Mjep una nafasi yako peponi pale VIP.Amina![]()
Hujui kama mimi pia ni mtoto nitaenda kulala?Ngoja watoto walale