Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha tu.

Kuna kipindi ilikuwa inafika nakuwa Sina hata Hela ya kula, boom loote nimekopesha
Nyumbani wakaniambia wewe ni mpumbavu.

Nikiwa nikichukua hela zote namtumia mama.
Ananipa ya kutumia kila wiki.


Unajibana kula wali wa buku,unamhurumia mtu unamkopea elfu 10..badala ajibane ale chakula Cha buku siku 5 ,yeye anarudi na Chips yai mishkaki soda...Uliyempa hela unakula wali maharage.
Halafu kesho anakuja tena kuomba hela imeisha.
Sijafikia hukoo na staki mwanangu awe hvyooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
20220913_223812.jpg
 
Ila wewe umezidi😂😂😂
Hadi kupambana kwenye maandishi huwa huwezi.

Mimi kwenye kuandika tutakesha🤣
Unikute sasa live aiseee naongea kinyonge.
Yaniii nina nature hio! Sasa afadhali humu najitahidi kidogo ukiniona live Anne huwezi amini hivi unamjua konokono kilaza wa kwanza kabisa kuongea!!?? Ndio mie sasa!
 
Back
Top Bottom