Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 695
- 1,803
Asante. Hapo ni Red devils na Mighty Red
Tuache kwanza tumefiwa.Mashetani wekundu inakuwaje tena tumewaamini mkatuchania mkeka
Inakujaa
Safi sanaaa mambo si hayooInakujaa
Kisa nini?ni tamu hatari
you know alienizawadia right?Njoo tukimbize bata wa jiraniHata sielewi
Me nachojua nimeshiba zangu ugali hapa basi 😂😂
Daktari au kaka?you know alienizawadia right?
So sikupiiiii
🤣🤣🤣 jirani yule sio muelewa kabisaNjoo tukimbize bata wa jirani
Yaah! Watoto walikuwa wabichi bichi kina KellyWay back 😍
Wakishua nakusalimu 🖐🖐🖐. It has been a long time rafikiNi nini unacheka tu huko kwa notifications? Carlos Tevez
Wanazeeka na uzuri waoYaah! Watoto walikuwa wabichi bichi kina Kelly
😉🤠🤠 Pesa mwanangu.. Mwisho wa matatizo hapajawai kuwa na mwanamke mmbaya duniani.. Kama yupo nimekaa pale niite pakaWanazeeka na uzuri wao
Still pisi kali