Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapa ndipo role ya mama inapokuja. Yani ukitaka kuzaa lazima ujikatae yani sura lazima ifomatiwe upyaa yani uvumilie vingi so na kina baba hapa ndipo muda wa kuwavumilia wake zenu sio ulimzoea pua mchongoko hapa lazima pua ijae kidogo kama andazi. Ila mwisho wa siku anakuletea Jembe au Mrembo kwa dunia. Hongera Jokate

View attachment 2354337
Aiseee
Kweli amebadilika
Kuna mahali niliona wanajadili,,wakawa wanasema hadi pua huwa inavimba.
 
Hapa ndipo role ya mama inapokuja. Yani ukitaka kuzaa lazima ujikatae yani sura lazima ifomatiwe upyaa yani uvumilie vingi so na kina baba hapa ndipo muda wa kuwavumilia wake zenu sio ulimzoea pua mchongoko hapa lazima pua ijae kidogo kama andazi. Ila mwisho wa siku anakuletea Jembe au Mrembo kwa dunia. Hongera Jokate

View attachment 2354337
Kuna shoga angu mmoja alisema sitamani kuzaa tena nikikumbuka ule mpua ulivyoumuka 😂🤣😂
 
Back
Top Bottom