Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
AiseeeHapa ndipo role ya mama inapokuja. Yani ukitaka kuzaa lazima ujikatae yani sura lazima ifomatiwe upyaa yani uvumilie vingi so na kina baba hapa ndipo muda wa kuwavumilia wake zenu sio ulimzoea pua mchongoko hapa lazima pua ijae kidogo kama andazi. Ila mwisho wa siku anakuletea Jembe au Mrembo kwa dunia. Hongera Jokate
View attachment 2354337
Kweli amebadilika
Kuna mahali niliona wanajadili,,wakawa wanasema hadi pua huwa inavimba.

