Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Kakalakeee 🤭🤭🤭🤭🤭😉😉!Nikiona vidole vya kike sijui huwa napata hisia gani huko..Mungu nisaidie
![]()
Kakalakeee 🤭🤭🤭🤭🤭😉😉!Nikiona vidole vya kike sijui huwa napata hisia gani huko..Mungu nisaidie
![]()
Chukua hatua, kwani NiniNikiona vidole vya kike sijui huwa napata hisia gani huko..Mungu nisaidie
![]()
Kuzaa mapema ni muhimu aisee uzazi changamoto baadae labda tu iwe umebanwa na kazi au ,Mambo mengineDada yangu huwa ananiambia ukishaolewa zaa mapema haraka haraka..Umri ukisogea ni hatari kuzaa.
Yeye alikuwa anatamani mtoto wa kike ila ya Mungu mengi,akazaa haraka,wote wa kiume.
Sasa umri umemtupa mkono,anaogopa kuzaa Tena.
Kwa wanawake ku loose weight ni kazi sana kuliko wanaume tokana na sababu za kibailojia, halafu mwili huwa unakuwa against na wewe unapotaka ku loose weight, inaidi u force sasa,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Juzikati nilimaintain Diet na mazoezi nilinoga kweri kweri!!
Naona njaa imeanza kwa speeed balaa!!
Yeah!Kuzaa mapema ni muhimu labda mtu awe
Kuzaa mapema ni muhimu aisee uzazi changamoto baadae labda tu iwe umebanwa na kazi au ,Mambo mengine
Mungu atujaalie kwa kweli maana bila yeye hatuwezi kitu .
Kabisaaa!! Ngoja nianze tena kumeintein tena japo juzikati Nilinunua hadi ule mkanda wa kupunguza tumbo ila unabana hadi basiii na ukiuvaa unaumiaa jamaniii!!Kwa wanawake ku loose weight ni kazi sana kuliko wanaume tokana na sababu za kibailojia, halafu mwili huwa unakuwa against na wewe unapotaka ku loose weight, inaidi u force sasa,
Halafu belly fat ni ngumu mno kui break inabidi kujituma kweri kweri, sijui utafute mchungaji akuombee😆, kwa maana najua ni ngumu mno kuwa persistency... Hata ushauriwe, but last ukiuachia mwili utaonekana age ago...
Kuna watu hadi wanafanyiwa surgery sio mchezo, kikubwa be patient , nenda taratiiiiib... InshAllahKabisaaa!! Ngoja nianze tena kumeintein tena japo juzikati Nilinunua hadi ule mkanda wa kupunguza tumbo ila unabana hadi basiii na ukiuvaa unaumiaa jamaniii!!
Amen!! nashukuru sanaKuna watu hadi wanafanyiwa surgery sio mchezo, kikubwa be patient , nenda taratiiiiib... InshAllah
Ngoja niende kusomea ualimuKwa hisani ya rafiki yake madam, Jonessia Saint Anne
Bora hata wewe Madame una juhudi..Kabisaaa!! Ngoja nianze tena kumeintein tena japo juzikati Nilinunua hadi ule mkanda wa kupunguza tumbo ila unabana hadi basiii na ukiuvaa unaumiaa jamaniii!!
TunakusubiriBora hata wewe Madame una juhudi..
Kuna matukunyema yamebeba matumbo hapa utadhani viroba vya mchanga.
Nawasimanga lakini wapi!
Nikiwasimanga sana wanaanza kunitisha kwamba wananisubiri nizae.
Wanakula mavyakula tu bila mpango.



Kadiri siku zinavyosogea,hela ndio zinazidi kunipiga chenga aisee..Kuzaa mapema ni muhimu aisee uzazi changamoto baadae labda tu iwe umebanwa na kazi au ,Mambo mengine
Mungu atujaalie kwa kweli maana bila yeye hatuwezi kitu .
Eti wananisubiri.
Na Mimi najiunga nao katika kukusubiri kwa hamu🤣🤣🤣Eti wananisubiri.
Nikawaambia nyie endeleeni kusubiri..
Siwezi acha tumbo kama mifuko ya tembo cement.
Wamasingizia tumbo ni asili,eti Kuna ambao hawakufunga na hawana vitambi.. nikawaambia Kwahiyo na nyie mkaiga??
Wamesema wananisubiri ,Mungu atupe uzima😂
Endeleeni kunisubiri😂Na Mimi najiunga nao katika kukusubiri kwa hamu🤣🤣🤣
A Joy of being a parent,.....My heartbeatView attachment 2351224
Hata mbuyu ulianza kama mchicha ujue !Endeleeni kunisubiri😂
Mnasubiri meli stand ya basi.
Uzuri Mdogo wako ni mahubiri yake kila siku kwamba nikijichanganya kuotesha kitambi basi nitakitapika.
Mnooooooo!!A Joy of being a parent,.....
Asikwambie mtu aisee.........
Uzazi ni zoezi tosha aisee.....Mnooooooo!!