Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤠🤠🤠🤠 Hayo yana virutubisho vyenyewe kienyeji hilo
Protini iliyopo kwenye yai ni sawa na mtu ale boga zima kwa mujibu wa wataalamu, thats why kuna tu vyakula wazungu huwa wanakula unasema hivi anashiba kweli? tushazoea wali sahani ijae na maharagwe ya kutosha, unaweza kula kidogo lakini chakula kikawa na nutrients za kutosha...
 
Mbona kama unanisema mimi pilot lakini 😉 ! Hapa kazini break time nimekunywa chai na mixa karanga na mahindi makavu ya ya kukaangwa🤣🤣🤣!
Hapo Asubuhi nilikwambia dada aniwekee chai yangu na kiporo cha wali ndondo hapa nipo njiani nikifika tu muda huu huu naanza navyo!
Mchana menu iko palepale siachi kitu🤣🤣🤭🤭 Kweli nitapunguza hiki kitambi mimiii ?🙆🙆
Mambo si haya, kifurshi 🤠🤠
 
Mbona kama unanisema mimi pilot lakini 😉 ! Hapa kazini break time nimekunywa chai na mixa karanga na mahindi makavu ya ya kukaangwa🤣🤣🤣!
Hapo Asubuhi nilikwambia dada aniwekee chai yangu na kiporo cha wali ndondo hapa nipo njiani nikifika tu muda huu huu naanza navyo!
Mchana menu iko palepale siachi kitu🤣🤣🤭🤭 Kweli nitapunguza hiki kitambi mimiii ?🙆🙆
Its all about quality vs quantity, quantity ndogo but inakuwa ina high calories, high fat e.t.c

We unakula sana halafu mazoezi kidogoo 🤏, anza kulima..😀

Lakini usiache kula wala kupunguza portion
 
Its all about quality vs quantity, quantity ndogo but inakuwa ina high calories, high fat e.t.c

We unakula sana halafu mazoezi kidogoo 🤏, anza kulima..😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Juzikati nilimaintain Diet na mazoezi nilinoga kweri kweri!!
Naona njaa imeanza kwa speeed balaa!!
 
Back
Top Bottom