Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lizzy, Post M-alone karibu .. Pale mtu unaamka na njaaa... Kikubwa shibe.. 🤠🤠🤠
IMG_20220909_101853.jpg
 
Aifoni hizo🥺

Nilikuwa natumia videorder kudownload,tangu waichakachie nikaacha.
Hakiyanani huo mimbo nilikuwa nasikia sweet poteto tu🤣🤣🤣🤣
Kumbe ndio unaimbwa hivyoo??

Mm nautaka wa Oliver twist nicheze hapa.
Download zako audiomack
Bundle lako tu unakula ngoma sio mpk udownload..
 
Pilau likipikwa vizuri huwa ni 🔥🔥🔥.. Katika vyakula pendwa na ambavyo najua kupika kwa mtindo nitakao bila wasi wasi huwa ni tambi na mboga mboga.. Ila vingine iasee ni tia maji tia mjai bora kushiba 🤠🤠🤠
Kwa kweli pilau asali sijawahi onja, labda biryani na zabibu kavu ilikuwa ni nzuri balaa!

Tambi ndio misosi yetu hio mabachela..
 
Kwa kweli pilau asali sijawahi onja, labda biryani na zabibu kavu ilikuwa ni nzuri balaa!

Tambi ndio misosi yetu hio mabachela..
Mkuu hiyo sio pilau msosi uliungua tu 🤠🤠🤠🤠.. Nimezoea asali na wali. Mboga nitakomba badae kabisaa baada ya kumaliza ubeche.

Tambi ni chap chap haili mda mwingi.. Na ni nzuri sana
 
Mkuu hiyo sio pilau msosi uliungua tu 🤠🤠🤠🤠.. Nimezoea asali na wali. Mboga nitakomba badae kabisaa baada ya kumaliza ubeche.

Tambi ni chap chap haili mda mwingi.. Na ni nzuri sana
Aisee nimeona pilau😂, hapo tambi na ile mboga ya mayai ka fast food flani ka ki bachela, tambi unaweka kwenye thermos na maji moto, ukirudi kutoka mizungukoni unatengeneza mboga ya mayai imeisha hio, mimina tambi toka kwenye thermos imeisha hio, haina kuremba😋😋
 
Aisee nimeona pilau😂, hapo tambi na ile mboga ya mayai ka fast food flani ka ki bachela, tambi unaweka kwenye thermos na maji moto, ukirudi kutoka mizungukoni unatengeneza mboga ya mayai imeisha hio, mimina tambi toka kwenye thermos imeisha hio, haina kuremba😋😋
🤠🤠🤠 Tambi na mayai ni pacha hao.. Huwa vina match sanaa
 
Back
Top Bottom