Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Social media in this days! Tafakuri ya Leo ♌.
20220909_075421.jpg
 
Ona sasa mnatumia simu kama mpo gerezani🥺,
Ona nimeukosa wimbo ningemforwadia huyu kiazi kitamu.

Nilisema mimi hata nikiwa na hela iphone sitaki..hizi tecno wereva nitamuachia nani sasa?
Sasa nani kataja Iphone mdogo wangu 🤣🤣

Download banaaa
Wimbo kaimba Dbanj,, fall in love

Tatizo la tekino kakishaingia vumbi
Kakianza kujaaa
Kataanza kustack balaa

Nazungumzia hizi tekno zetu za 350 kuja chini
 
Sasa nani kataja Iphone mdogo wangu 🤣🤣

Download banaaa
Wimbo kaimba Dbanj,, fall in love

Tatizo la tekino kakishaingia vumbi
Kakianza kujaaa
Kataanza kustack balaa

Nazungumzia hizi tekno zetu za 350 kuja chini
Aifoni hizo🥺

Nilikuwa natumia videorder kudownload,tangu waichakachie nikaacha.
Hakiyanani huo mimbo nilikuwa nasikia sweet poteto tu🤣🤣🤣🤣
Kumbe ndio unaimbwa hivyoo??

Mm nautaka wa Oliver twist nicheze hapa.
 
Pacha wako huyo🥰🥰🥰🥰
Mnafanana🙌


Hivi kuzaa huwa inakuwaje?
Lile tumbo linaning'inia huwa haliumi?🥺❤️
Nahisi nitakuwa nakaa tu hakiyanani...lile tumbo nikiona nasisimka.
Halafu ni wa kiume ujue!! Wengi wao wanakimuona usoni wanajua wakike !! Sasa kuna Siku alivaa nguo za dadake 🙆🙆🙆🙆!
Wakiume kufanana na mama siio poa kabisa!!
 
Hahahaaa...... Sikupatii picha Anne ukiwa na tumboo kuleee hahaaaa!!


Watoto ni barakaaaa!
Saivi nimemisi kachangaa hatareee ngoja mtu arudi nitotoe ka mwisho na kufunga kizazi kabisa Walai!!
Watoto ni baraka

Watoto hubeba matumaini ya kesho yetu angavu na ndoto za maisha yetu ya usoni yenye furaha. Mtakie siku njema kabisa mtoto wako japo kafanana na Maxence Melo
 
Back
Top Bottom