Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,522
- 235,247
Kwanza Mimi hata hamu ya kula Sina.Hata mbuyu ulianza kama mchicha !
Naweza Kaa kutwa nzima nisile na usiku nakula kidogo tu.
Halafu kila mwezi huwa nakuwa na ratiba za fasting siku 5 Hadi 10.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app