Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bora hata wewe Madame una juhudi..
Kuna matukunyema yamebeba matumbo hapa utadhani viroba vya mchanga.
Nawasimanga lakini wapi!
Nikiwasimanga sana wanaanza kunitisha kwamba wananisubiri nizae.


Wanakula mavyakula tu bila mpango.
Sasa bora uwe tukunyema Tambi linajifichamo humohumo!!
Kasheshe uwe kembambaa afu uzae mbaya zaidi uwe na tambi la uzazi aiih!!!
 
IMG_20220909_121142_398.jpg
 
Sisi miili huwa inaongezeka kadiri tunavyozidi kuzaa


Ila vitambi siyo kabisa aisee.
Wadada wazurii ila wameendekeza vitambi..hata mazoezi hawataki kufanya.


Lizzy ana watoto na kitambi hana.
Sio wote waliozaa wana vitambi inategemea na Mwili wako! Kuna wanawake wana watoto saba nane na wana tumbo flattttttttyyy!!
Na unaeza shangaa na kamwili kako hako ukizaa ukafutuka balaaa!!
Majibu yote yatapatikana ebu uzae kwanzaa!
 

Ngoja tuone..
Nisiongee sana wakati sijafika.
Hapana; relax kabisa. Ukiamua kupambana na kitambi kweli; kitakutii tu. Mbona wengi wamezaa na Wana flat tummies? Nilikuwa nastress tu kwamba fat ya kwenye tumbo ni kipengele kinachohitaji juhudi haswa. Au unaweza ukawa huna asili ya tumbo at all; so utapeta tu.
 
Sio wote waliozaa wana vitambi inategemea na Mwili wako! Kuna wanawake wana watoto saba nane na wana tumbo flattttttttyyy!!
Na unaeza shangaa na kamwili kako hako ukizaa ukafutuka balaaa!!
Majibu yote yatapatikana ebu uzae kwanzaa!
Yeah kweli; wengine after weeks tu katumbo kaleeee. Wengine ndiyo yanazidi kutanuka
 
Back
Top Bottom