Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,270
Awapi !! Napingaaa!!Ukiona mwanamke ana kitambi ni mroho
Awapi !! Napingaaa!!Ukiona mwanamke ana kitambi ni mroho
Mimi huwa nafikiria sipati majibu..Hapana; relax kabisa. Ukiamua kupambana na kitambi kweli; kitakutii tu. Mbona wengi wamezaa na Wana flat tummies? Nilikuwa nastress tu kwamba fat ya kwenye tumbo ni kipengele kinachohitaji juhudi haswa. Au unaweza ukawa huna asili ya tumbo at all; so utapeta tu.
Umetoroka kaziniAwapi !! Napingaaa!!
😂😂😂😂😂😂Ukiona mwanamke ana kitambi ni mroho
Hahaha weweKidogo eti niseme nimekuravu. Yaani forinilavngoja nikupigie kwanza
![]()
Ngoja tusubiri.Sio wote waliozaa wana vitambi inategemea na Mwili wako! Kuna wanawake wana watoto saba nane na wana tumbo flattttttttyyy!!
Na unaeza shangaa na kamwili kako hako ukizaa ukafutuka balaaa!!
Majibu yote yatapatikana ebu uzae kwanzaa!
Weeeee unawaangaliaga wengi vizuri kweli? Mimi kwa cycle yangu wengi wanapakata vitambiMimi huwa nafikiria sipati majibu..
Mbona mama zetu hawana vitambi?
Msalimie rafiki ako mwenye bonge la HipsMeet my friend Dr.M
AiseeWeeeee unawaangaliaga wengi vizuri kweli? Mimi kwa cycle yangu wengi wanapakata vitambi
Kama kawaida ya wanyakyusaMsalimie rafiki ako mwenye bonge la Hips
Mbona Mimi sina sasa?😔😔Kama kawaida ya wanyakyusa
Aiseee huyu anafaa kwenda naye kidimbwi j2Meet my friend Dr.M
Nikikuonesha picha Zangu za ubinti hutaamini!!Aisee
Mimi huwa namuangalia Mama.
Labda akina shangazi.
Na zile ulizonazo ni nini?Mbona Mimi sina sasa?![]()
Kweli???Nikikuonesha picha Zangu za ubinti hutaamini!!
Sijawah kuona binti wa kinyakyusa mwembamba kama watani zangu wachaga 🤕Meet my friend Dr.M
Una utani na Anne na mama pasta🤔🤔Sijawah kuona binti wa kinyakyusa mwembamba kama watani zangu wachaga 🤕