myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,811
- 721,136
Jirani yangu wa nguvu Lenie natumaini hajambo...Salama kabisa jirani yake myoyambendi
U hali gani wewe?
Jirani yangu wa nguvu Lenie natumaini hajambo...Salama kabisa jirani yake myoyambendi
U hali gani wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu waleteee niwaone, japo kada yao inawaondoa ktk vigezo vyangu.Halafu kuna Vijana wa field wamekuja mayanki wabichiiiiiiii fleva za Shos angu cocastic kabisaaa ngoja Kesho nijifanye najiselfisha karibu yao nimletee achague
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Utakuwa umefanya jambo Jemasana
Me niko poa jiraniHujambo jirani..
Me niko bomba kakaSalama kabisa jirani yake myoyambendi
U hali gani wewe?
Kwetu salama kabisa jirani...Me niko poa jirani
Umeamkaje huko
Roho mbaya na wivu doesn’t suit you 🤣Mtaachana tu, in the name of jilasi
Nawa 👀 kama makolo 🤣🤣🤣🤣 penzi jipya linakuzuzua unatuona wengine hatuna ishu
😂😂😂😂 Hatarious MgangaKiazi changu kitamu [emoji6]
Nataka kukuambia mawazo yangu, nataka kukuambia mawazo yangu oh [emoji16]
Sielewi oh [emoji30]
Maana naona vizuri lakini wanasema mapenzi ni kipofu oh [emoji101]
Unaona kama ulivyo
Wewe ni kipenzi cha maisha yangu, wewe ni kipenzi cha maisha yangu oh [emoji175] [emoji419] [emoji359]
Siwezi kukataa [emoji30] [emoji359]
Nataka kukufanya mume wangu, nataka kukufanya kuwa mume wangu ooooh nyonyomaa [emoji441] [emoji3590]
Tazama, sikuwahi kufikiria kuwa nitapata mtu kama wewe [emoji7]
Hilo litauteka moyo wangu na hakuna ninachoweza kufanya [emoji9][emoji6]
Nilikuwa nikijisifu kwa marafiki zangu kuwa nitakuwa mchezaji siku zote [emoji2957]
Lakini tangu nilipoweka macho yangu kwako[emoji846]
Omo hunifanya nikupende ‘hunifanya nikupende,hunifanya nikupende
oh ‘unanifanya nikupende [emoji76]
AminaKila siku ni baraka kutoka kwa Mungu. Unaweza kufanya mambo mengi ili kuishi maisha bora. Kwa hivyo fanya chochote unachopaswa kufanya ili kupata yako mafanikio.
Asubuhi njema watu wa Mungu mbarikiwe sana
Hii Dedix naenda kuiprint kabisa ccy😍😍😘😘My sweet potato 😉
I wanna tell you my mind, wanna tell you my mind oh 😁
I no understand oh 😩
'Cause I dey see well-well but them say love is blind oh 👂
You see as you dey so
You are the love of my life, you are the love of my life oh 💗 📌 🔐
I cannot deny 😩 🔐
I wanna make you my hubby, wanna make you my hubby ooooh nyonyomaa 🎤 ❤️
See, I never thought that I'll find someone like you 🥰😍
That will capture my heart and there's nothing I can do 😚😉
I used to brag to my friends that I'll always be a player 🤪
But since I set my eyes on you🙂
Omo you don make me fall in love ‘you don make me
Fall in love oh ‘ you do make me fall in Love 😻
Dedix hiyo😅😅😅 Lovelovie Lenie Saint Anne
Ameeeennn!!Kila siku ni baraka kutoka kwa Mungu. Unaweza kufanya mambo mengi ili kuishi maisha bora. Kwa hivyo fanya chochote unachopaswa kufanya ili kupata yako mafanikio.
Asubuhi njema watu wa Mungu mbarikiwe sana
🤣🤣🤣🤣muoneNawa 👀 kama makolo 🤣
Nitafanyaje sasa na maisha yanafosi 🤣🤣Roho mbaya na wivu doesn’t suit you 🤣
Nafurahi kusikia hivyo jirani yangu, uwe na wakati mwemaKwetu salama kabisa jirani...
🤣🤣🤣🤣muone