Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahahaaa...
Hii ndio replacement yake?
Hii ndio replacement yake?


Woyoooooo![]()
Kumbe bado una nguvu mkuuHakuna namna yoyote, nimelala kwenye bench nikanyanyua mguu nikapiga picha
Nguvu ya kufanya nini?Kumbe bado una nguvu mkuu
Hivi kwanini konyagi huwa wanailaza hivyo hawaisimamishi?


Hahahaaa...
Hii ndio replacement yake?![]()
Hahaha utafananisha watu uko ujue shunieKila nikiona kasichana kamodel kenye lips pana kameshika Heineken na blauzi ya brown yenye licheni najikuta nimeshout shunie.
Wacha bwanaNi hb wa nguvu
Hahahah ndioNi mzee muroto ?
Hahahha hawachi upoje lakiniNaamini mpendwa![]()
Napendaga wanaume wenye sura ngumu mimi kama baba yanguBora umwambie,
Maana ananichukuliaga poa sana

Sawa afandeKwema tuu Mama afande
Kweli,
Kila siku mi nakwambia wewe una Kila kitu ninachopenda,ila Mimi ndio Sina Kila kitu unachopenda (pesa)


Jitahidi utafute sasa hizo pesa
Utayajenga na wangapi sasaNa wewe
Hahhaha acha nicheke miePerhaps,maana sielewi elewi yawezekana mwanangu kishaachwa
Jamani kapeace ebu kuja basiNoelia.
AbeehShunie