Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
Asubuuuuutu!!!
Asubuuuuutu!!!
Waliniambia nikiacha wananipa mke hapa hapa kwa uzi kwa hiyo tulia mzeebaba![]()




Umeamua jambo la msingi
Umeacha kwa dakika ngapi?hutaki kusadiki?
Umeacha kwa dakika ngapi?
Tusubiri kuanzia kesho tuone.Siku kadhaa leo
Kabisaa...nitanunua maziwa na sukari ni mwendo wa chai tu![]()
Ni mpole kawaida sema hapendi ujinga.
Hii picha wakati inapigwa mpigwaji alikuwa kakaa mkao gani ?
Hicho ni kibanda Kuna bench. Figure it outHii picha wakati inapigwa mpigwaji alikuwa kakaa mkao gani ?
Kesho nitapost mapicha.
Hivi bado kuna mashindano?
Tangazo... View attachment 1256865
La kuchumpaView attachment 1256808


Utaambiwa chai pia ina madhara...![]()