Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aah ukweli nimefail, ila mala sita sija fail sana kuna watu washafanya mala mia taatu.. Mwakani itakuwa kwa mwezi mala 18, kwa mwakani nahisi nitafanya 18*12 = 216
Life is yours!! Tusipangiane maisha ausio!! Mwemwereka kwaraha zakoo mjomba kila mmoja ashinde mechi zake ama nene!! Kula karanga kwa wingiiii tende hizo asali kwakwenda mberee bila kusahau mazoezi kwa sana pumzi iwepo mjombaa๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
Tunakumbushana ausio ๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰
 
Life is yours!! Tusipangiane maisha ausio!! Mwemwereka kwaraha zakoo mjomba kila mmoja ashinde mechi zake ama nene!! Kula karanga kwa wingiiii tende hizo asali kwakwenda mberee bila kusahau mazoezi kwa sana pumzi iwepo mjombaa๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
Tunakumbushana ausio ๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Nalamba lamba tu hapaaa
IMG_20220906_185024.jpg
 
Humu o muhasband akipita akaniona dada yako nitafurushwa. Nyie wadogo zangu tupieni naked maana ndo muda wenyewe huu sisi tushapoa
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ! Kumbe hubby yupo humu?? Dooh hapo uwe unakata head au kuweka emoj kubwaaa sasa sis ake ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”! Ila naked unapita sekunde mbili nyingiiiiiii unafutaa ataezubaaa atajijuuu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‰
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ! Kumbe hubby yupo humu?? Dooh hapo uwe unakata head au kuweka emoj kubwaaa sasa sis ake ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”! Ila naked unapita sekunde mbili nyingiiiiiii unafutaa ataezubaaa atajijuuu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‰
Kuna wazee wa kukrop halafu unaikuta mahali hahahahahah. Hayupo humu nisingeweka hata hyo lol
 
Mkuu; mbona unatoa siri za kambi? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Hao hawana shida, kuna filamu moja nimeiangalia mwaka huu inaitwa The Tinder Swindler ni true story, kuna jamaa mmoja , alikuwa anaonekana ni tajiri sana, mfanya biashara wa dhahabu, anamiliki private jet na anaishi maisha ya kifahari sana, kwanza profile yake tu tinder/instagram ilikuwa hatari, nguo zake tu, Louis Vuitton, Balenciaga, Gucci, Versace n.k, aliwateka sana wanawake ukizingatia alikuwa na muonekano, mwisho wa siku alikuwa anawatapeli millions of dollars.

Sasa ndio wakaungana wanawake wote waliotapeliwa ili kuhakikisha jamaa cha moto atakiona, lakini nimesema hivi kwa sababu kuna mwanamke mmoja alimpenda jamaa sana, licha ya kufahamu siri za kambi kwamba jamaa ni tapeli lakini alikuwa keshapenda totally..

Ipo mfumo wa documentary, na wahusika wanaelezea story nzima...
AAAAQRXXh6w55rMxE4i_L8qeXy1_Furl4yKS9rdaZwHvByQqjj6FbhvOFRhE1HNxlbKd3MVNUm8_FphAwvcMtTrE6X8vv1_m5b3XDe_Z4Z2JG8jBVokNvg-OWCqY9oYNohBYLfZ55WRtImyRO-zrGAh-D6A6.jpg


screenshot_2022-02-07simonleviev---tolafacebook-news-1644223474111292.png


Simon-Leviev.jpeg

Acha wajue siri za kambi, hawana la kufanya..
 
Ukitaka na zahivi tuwasiliane naziuza jumla na rejareja mjombaaa pia kuna za kuchemshwa moja kwa moja wewe ni kunywa tu na kuingia mzigoni!! Sitanii nauzaa sema bei imepanda tangu serikali ikataze basi zimekua magendooooo ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿšถ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ
Life is yours EnjoyโœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธ!
๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž Hiyo nipe nikupe ndio yenyewe, inabidi ku itest kama OG au
 
๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž Hiyo nipe nikupe ndio yenyewe, inabidi ku itest kama OG au
Nina naile mundende sijui ipo kwenye kichupa boksi lake juu lina picha ya mshedede umesimama na zile dawa fulani hivi za kama mizizi myeupe huku uhayani zimejaa sana !! ngoja nikienda dukani nitapiga picha nikuoneshe mjomba kazi ni kwakooo
Enjoy ๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰โœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธ!
 
Back
Top Bottom