Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nikaishi juu ya mti?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hao unaona wapo wapi hapo 😁😁
IMG_20220906_165114.jpg
 
😊😊😊 Msema jamanj hata kama baby shower tulete mazawadi ya mapacha ma uncle zetu au sio mkuu Post M-alone yani hawa dada zetu wanafanya mambo kimya kimya tunashindwa hata show love
😅😅😀 msijaliii yani ikitokea hivyo inshallah nitawaambia mimi nani hata nisitake zawadi za mauncle😀
 
Uaminifu.
Wengi wamekuwa si waaminifu ..Wanapanga watu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Jamaneeee!! Ila ukishalijua hilo ukazoea kupangwaa aaaaahhh mbona unaona burudane tyu 🤔🤔🤔!!😳 Sasa unakuta mtu anajua kabisa kuwa this man is married he has wifeyy or ako na mtru wake specific still anamwambia kabisa niko tayari kuwa mke mdogo / mchepuko whenever utapniweka mie poa tyu huyoo si anaona kupangwa furesh tyu jamane 🤔🤔🤔???
Kasheshe ni usipozoea kupangwa siku ujue mnapangwa ndio utapata tabu sanaa utaumiaaa mnoo kama una moyo mwepesi ila ukijua aaaahh kila kitu unaona barida tu !!
Kuna watu wanachukulia mahusiano kisimposimpo sana yani" whatever 🤷" still kuna wanaocomliketi hizohizo issues za kawaida sana katika mahusiano still kuna wanaochukulia kigumu mnoooo kwakua mioyo imetofautiana! Experience zimetofautiana

Juzi kuna status niona mtu kaweka nanukuu" Kuona uko pekeako Sijui nini naninii huo ni upungufu wa akili"
Nikajisemea tu nhiiiiiiiii😉🚶🏼‍♀️
 
Kiongozi ilikuaje mpaka kuamua kufuga hivyo vijamaa 🦜🦜 ndan 😃
Vina vibe lake tu mkuu, nina enjoy asubuhi tukiamka vina makelele kimbia kimbia huku na huku basi mie roho yangu hapo inatulia kabisaaa, usiku nikilala navyo vinalala nina enjoy ukishakuwa single chronicle inabidi utafute furaha mbadala 😅😅😅 au unasemaje mod mwenzagu mzabzab
 
Back
Top Bottom