Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama jamii, tumefikaje huku tena jamani?
Screenshot_20220906-093625_Telegram.jpg
 
Ujue tyu Mapenzi yana seasons mdogo wanguuu! Jiandae kwa yote na usiwe na lots of expectations kwa Mwenzio sometimes mambo hubadilikaa huyohuyoo anoonesha malovee kama yote hapo mwanzo anaeza kugeuka ukabaki unajiuliza bila majibuuu!! Hii inaapply kwa wotee yeyote aeza badilika
Ni kujiandaa kwa yoteee pia!! Na Sometimes Ni Kupambana kama mlivosema hapo juu na mamaa lipss Tinsley nawengine ikifika Crisis ndio balaaa ifike crisis afu no resolutions ndobasi tenaaaa til we meet again
Note that pia!

Nipo Naendelea kusoma tena
Uwiiii,

Ila Kuna kawimbo kanaimbwa
Nimepata asiyebadilikaa
Yesu asiyebadilikaa
Asiyebadilikaa ni Yesu pekeyake
Ni Yesu pekeyake asiyebadilikaa


Mwanadamu anaweza badilika muda wowote.
Ila kabla ya yote,nitamkabidhi mikononi mwa Mungu ...Yeye mwenyewe atajua namna ya kumuweka.
Kwa akili na ujaanja wangu siwezi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
"Kwa wanaume imezidi"How ?? When where???
Can you clarify more pullliiizzzzzzzzzzzzzzz??
Nipo nanote hapa


yeah kwa wanawake tuna mambo mengi pia nadhani wao wanaume ndio wana majibu sahihi katika maproblee yetruuu wanawake!
Uaminifu.
Wengi wamekuwa si waaminifu ..Wanapanga watu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ila ninayempenda na nimeingia naye kwenye mahusiano kamili akifanya mambo ya ajabu haki nitasima mchana kweupee.


Tafadhali tu mtoto wa watu niliyempenda asiniumize.



Hili hadi Mungu nimemwomba sana na Nina amini anajibu.

Watu huwa wananiambia kuwa wanaume ni wasumbufu,Mimi nasema wa kwangu hata kuwa msumbufu.
Wanasema karibia wote wasumbufu,,wachache sana walipona.
Nasema katika hao wachache basi na wangu atakuwepo hapohapo.
Mungu akusaidie aisee
Wanaume hawaeleweki ....muombee pia
 
Uwiiii,

Ila Kuna kawimbo kanaimbwa
Nimepata asiyebadilikaa
Yesu asiyebadilikaa
Asiyebadilikaa ni Yesu pekeyake
Ni Yesu pekeyake asiyebadilikaa


Mwanadamu anaweza badilika muda wowote.
Ila kabla ya yote,nitamkabidhi mikononi mwa Mungu ...Yeye mwenyewe atajua namna ya kumuweka.
Kwa akili na ujaanja wangu siwezi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Amen!!
 
😆😀😀 aah hapana walah


majukumu tuu yalijua kunikaba hii miez miwilii hapa Mungu mwema now kila kitu kinaenda vizur
😊😊😊 Msema jamanj hata kama baby shower tulete mazawadi ya mapacha ma uncle zetu au sio mkuu Post M-alone yani hawa dada zetu wanafanya mambo kimya kimya tunashindwa hata show love
 
Back
Top Bottom