Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vina vibe lake tu mkuu, nina enjoy asubuhi tukiamka vina makelele kimbia kimbia huku na huku basi mie roho yangu hapo inatulia kabisaaa, usiku nikilala navyo vinalala nina enjoy ukishakuwa single chronicle inabidi utafute furaha mbadala 😅😅😅 au unasemaje mod mwenzagu mzabzab
Heee hadi chumbani vinaingia duh
 
Vina vibe lake tu mkuu, nina enjoy asubuhi tukiamka vina makelele kimbia kimbia huku na huku basi mie roho yangu hapo inatulia kabisaaa, usiku nikilala navyo vinalala nina enjoy ukishakuwa single chronicle inabidi utafute furaha mbadala 😅😅😅 au unasemaje mod mwenzagu mzabzab
Hivi hao ndege huwa wanakula nini? kuna sehemu niliona wanapewa pilipili na karanga..
 
Jamaneeee!! Ila ukishalijua hilo ukazoea kupangwaa aaaaahhh mbona unaona burudane tyu 🤔🤔🤔!!😳 Sasa unakuta mtu anajua kabisa kuwa this man is married he has wifeyy or ako na mtru wake specific still anamwambia kabisa niko tayari kuwa mke mdogo / mchepuko whenever utapniweka mie poa tyu huyoo si anaona kupangwa furesh tyu jamane 🤔🤔🤔???
Kasheshe ni usipozoea kupangwa siku ujue mnapangwa ndio utapata tabu sanaa utaumiaaa mnoo kama una moyo mwepesi ila ukijua aaaahh kila kitu unaona barida tu !!
Kuna watu wanachukulia mahusiano kisimposimpo sana yani" whatever 🤷" still kuna wanaocomliketi hizohizo issues za kawaida sana katika mahusiano still kuna wanaochukulia kigumu mnoooo kwakua mioyo imetofautiana! Experience zimetofautiana

Juzi kuna status niona mtu kaweka nanukuu" Kuona uko pekeako Sijui nini naninii huo ni upungufu wa akili"
Nikajisemea tu nhiiiiiiiii😉🚶🏼‍♀️
💯🔨
 
Jamaneeee!! Ila ukishalijua hilo ukazoea kupangwaa aaaaahhh mbona unaona burudane tyu 🤔🤔🤔!!😳 Sasa unakuta mtu anajua kabisa kuwa this man is married he has wifeyy or ako na mtru wake specific still anamwambia kabisa niko tayari kuwa mke mdogo / mchepuko whenever utapniweka mie poa tyu huyoo si anaona kupangwa furesh tyu jamane 🤔🤔🤔???
Kasheshe ni usipozoea kupangwa siku ujue mnapangwa ndio utapata tabu sanaa utaumiaaa mnoo kama una moyo mwepesi ila ukijua aaaahh kila kitu unaona barida tu !!
Kuna watu wanachukulia mahusiano kisimposimpo sana yani" whatever 🤷" still kuna wanaocomliketi hizohizo issues za kawaida sana katika mahusiano still kuna wanaochukulia kigumu mnoooo kwakua mioyo imetofautiana! Experience zimetofautiana

Juzi kuna status niona mtu kaweka nanukuu" Kuona uko pekeako Sijui nini naninii huo ni upungufu wa akili"
Nikajisemea tu nhiiiiiiiii😉🚶🏼‍♀️
Kupangwa si poa
Na umenena vyema Kama hujazoea ndo kabisa utaachia ngazi .

Huwa naimagine eti nitoke na mume wa mtu najiwekea position ya mkewe nasema hapana .. nikija kwa watoto ndo kabisaa nakataa .
 
Saint Anne Tinsley sophy27 sikuhizi kwa huu ulimwengu tunaoishi kuolewa / kuwa katika mahusiano hakujustify Kwamba mumeo/mtu wako ndio haruhusiwi au hatapenda wengine huko nje hilo halipo!!

Nimesema tu mie msinipinge wala kunipopoa banduguu!! note that!
It is the real life situation!
Sasa sijui ndio tamaa zenyewe sijui ndio nini.. Anajisemea Carrasco putin .mtajua wenyeweee
 
Back
Top Bottom